Hapa ni wapi?

Umeshawahi kufika kilwa kivinje maana umeenda direct...πŸ‘πŸ‘

Nimefanya kuotea maana Kilwa na Mafia ndio kuna magofu mengi ya kiarabu yaliyoachwa bila kujengwa upya...

Sababu nimefika Bagamoyo mara nyingi kiasi cha kukariri majengo yake ya namna hiyo, Lindi nimefika mara kadhaa sijawahi ona jengo kama hilo...Zenji wao wamekarabati majengo mengi ya kale kama ilivyo kwa Dar...
 
Daaah umepatia kabisa pale ni kilwa kivinje..
Na nimeuliza hivo kwa maana magofu mengi yanafanana ni ngumu sana mtu kujua moja kwa moja ni wapi hapo...πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ‘
 
Joannah
""""Hapa ni Mbagala alipopaimba Diamond,nimeangalia matofali ya block yanatumika sana Dar es salaam,viinuko ,na mkoa wanaotupa uchafu hovyo ni Dar especially Mbagala"""

Exactly kabisa umepatia πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Ila sasa hiyo kauli ya
"""mkoa wanaotupa uchafu hovyo ni Dar especially Mbagala"""
Nakubali mkoa wanaotupa mauchafu hovyo ni Dar ila sasa umewekaa na specifications kabisa khaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ety mbagalaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣Nimepatia?nimefurahi sana...... maana nimelizooom Hilo dampo kichwani kakaimba kawimbo ka Mondi....safi sana....Chalamila asimamie vizuri Jiji lake sasa
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣Nimepatia?nimefurahi sana...... maana nimelizooom Hilo dampo kichwani kakaimba kawimbo ka Mondi....safi sana....Chalamila asimamie vizuri Jiji lake sasa
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila
Hayo mambo ya especially Mbagala sio poa...
Sa hivi mbagala ipo saaafiiii hiyo picha ya mda kidogo nahisi πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahah hiyo ni altitude ya juu sana, pipa ishakamata lami yake hapo na watu washafungua mikanda...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ ikiwa altitude ya juu nahisi mambo yanakua ruksa movement ka zote..
Hapo ni kuzoom tu. Tafuta electronic microscope πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ ikiwa altitude ya juu nahisi mambo yanakua ruksa movement ka zote..
Hapo ni kuzoom tu. Tafuta electronic microscope πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hahah nimesanda maana nilijaribu kufanya hesabu hii...

Dar kwenda Doha kuna flights mbili kama sijakosea, kuna ile ya mchana na ile ya alasiri...ukipanda ile ya alasiri moda fulani ya sunset ndio unakuwa unakatiza kwa Wahabesh hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…