NinayoHata mumeo hauna haki ya kumchoma kisu
DuhNinayo
Mmmh aiseeUmchome kisu kwani huyo ni mumeo?
Haya mchome umuueNinayo
Ndio buzi la kuchuna ngoziUmchome kisu kwani huyo ni mumeo?
Je unatumia browser ipi?Mozilla Firefox mwaka 2025
Ila Operamin hua unatumiaHamna
Whatsapp imo
Eti usisahau kula utoto raha sana...kanikumbusha mbali na yule demu wangu wa IFM anaitwa Lily mwaka 2013Huyu mkaka mbona ananichezea akili...Leo kaniita nikaenda kwake kwa madai ya kunimiss Kuna kazi nlimkuta anafanya kwenye PC ila baadae alichomoka nje mara moja Ile pC ikadisplay whatsap
Mimi ni mbea nikataka kujua tupo wangapi nikachokonoa chats nikakuta ananicheat na Florina ..
Baadae aliporudi akaniuliza mbn mnyonge nikavunga hakujua nimechokonoa..akaanza kuniambia ananipenda Mimi tu na sio mwingine na Mimi nimemteka moyo wake....
Muda hanipi anapewa Florina
Kubembelezwa yeye
Simu kama zote kupigiwa yy
Anamuita mke
Nipasue hii PC au niondoke nayo nikaliuze
Alikuchoma cha wapi?Eti usisahau kula utoto raha sana...kanikumbusha mbali na yule demu wangu wa IFM anaitwa Lily mwaka 2013
Mbona unasound kibabe hivyo... Mmmh wee mwanamke kweli?H
Hii pC nabeba siachiii