Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Kama kusoma hujui hata picha huoni?
Jiongeze mkuu wenzio washajipimia.
 
Hicho unachokiona ndicho kilichopo ww Fanya yako ushaibiwa mkuu,japokuwa hutaki amin
 
Lishavunjika au unasubiri upewe taarifa, wewe kazana kusoma ukatafute hela utawapa wengi tu.
 
mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa morogoro nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu moshi (mweka) ,lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga had saa 7, sms nkituma hajbu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana, naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
Kweli wewe ndondocha sikia mkuu hapo huna chako kwa Sasa unatakiwa kukocentrate na masomo kwanza pia jaribu kumpotezea huyo mpenz wako jikeep busy
 
Back
Top Bottom