Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Kama kusoma hujui hata picha huoni?
Jiongeze mkuu wenzio washajipimia.
 
Hicho unachokiona ndicho kilichopo ww Fanya yako ushaibiwa mkuu,japokuwa hutaki amin
 
ushauri mzur bro , lakini nimchane ukweli au nipotezee
 
Lishavunjika au unasubiri upewe taarifa, wewe kazana kusoma ukatafute hela utawapa wengi tu.
 
Kweli wewe ndondocha sikia mkuu hapo huna chako kwa Sasa unatakiwa kukocentrate na masomo kwanza pia jaribu kumpotezea huyo mpenz wako jikeep busy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…