Hapa nitatoboa au nifanye mishe zingine

Hapa nitatoboa au nifanye mishe zingine

Binafsi huwa nawashangaa wanaomind vitu kama hivo, hivi unamchukiajeee usiyemjua..

Anyway,
live, love ,lie 🙏
 
Wee mi sina
Mbona unaongea huku unabana pua??
Em sema kwa sauti na kujiamini, kaza wowowo.. haya unasemaje??
[/QUOT
Mbona unaongea huku unabana pua??
Em sema kwa sauti na kujiamini, kaza wowowo.. haya unasemaje??
Wanaume tupo tofauti bibie,sie wengine hatujui kushadadia au kutaka attention kwa wanawake wa mitandaon
staki league naww bn,una nyege kaliwe uko.
Peace🤟
 
Back
Top Bottom