Hapa ntakuwa nimeepa ngoma? nimechanganyikiwa kabisa

Nmeingia dhambi ya bure...tumepima....mtoto wa watu hana ngoma wala UTI yupo fresh kabisa... Sasa nina amani
Acha uoga wa kifala, ukimwi upo wa kumtosha kila mtu.
Sawa..Kapime homa ya ini[emoji2]
We jamaa akili yako kama ya Jaco Zuma tu
Sichacheka toka mchana leo... Asante kwa chai, chapti na maharage
Acha woga ..aliambia watu yeye ana ngoma ili kupunguza foleni ya watombaji ..we cha kufanya endelea kula mzigo
Hapo Mirembe hospital dawa zimeisha?
hapo utakuwa umeepa UTI tu, ila ngoma ni ndani ya damu labda utoe damu yote afu tuweke ingine[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo mzee kesho mcheki mkapime kama hayupo vzr ongea na doctor atakupa dawa ya kuondoa wadudu kabla ya masaa 72 kupita.
Haah hah apo kuosha ub0** ungepaka pilipli ya mwendo kas wangewashwa wote wadudu wangekimbia na ungekuwa salama mi ndio nafanyagaa
Baharia gani muoga hivo wewe... watu tushasahau habari za hiyo kitu..
Hepatatis B kwa bongo is overated..hospitali tu zinataka kuuza vaccine

Though ni kitu poa kupata chanjo
Usisahau maji glass 1
Baharia umeamua kubariki uzinzi kabisa kabisa ilimradi usife pekeyako tu kwa ukimwi [emoji851]
Bangi bangi bangi...nimemaliza.
Wanaume wa dar hawana Siri kabsa
😂😂😂😂Dadeeeeki, you never escape!
Siyo Kwamba unajarib kujipa ma hope peke yako tu.[emoji16]






Hapo mzee kesho mcheki mkapime kama hayupo vzr ongea na doctor atakupa dawa ya kuondoa wadudu kabla ya masaa 72 kupita.
 
hayo masikhara hata tududu milioni moja tukifanyiwa ukatili tusiingie kuna kamoja kabishi lazima kaingie.Tahadhari virusi sio wajinga
 
Kwel wewe sio mzoefu yaan one night stand moja tu unakuja kusimuliaaa na mawazo kibao
 
Hepatatis B kwa bongo is overated..hospitali tu zinataka kuuza vaccine

Though ni kitu poa kupata chanjo
Kiongozi kuna sehem inaitwa Geita nihatari.

Sasa sijui umezungumzia Bongo kwamana yaDar yetu??
 
virus vya UKIMWI ukavitoa Kwa mkojo au?
 
Paragraph no 4 imeniacha hoi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utakua mme wa mtu si bure
 
Mambo ya Jacob Zuma, ukimwi unaepukwa kwa kuoga!
 
Inamaana virusi vimekua vikubwa kwa sasa na kuonekana km mbu??airbus sidhani km itatoka haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…