muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
waheshimiwa,
mimi ndiyo kwanza nimejiunga. nimefanya ziara ya baadhi ya majukwaa na kuchungulia mijadala michache. Nilipoingia kwenye lile jukwaa la siasa heartbeat zangu ziliongeza kasi kwa sababu inaonekana watu wengi kule wana hasira sana.
Nilipokwenda International kidogo siyo mbaya, hata hayo majukwaa mengine.
Lakini nimeona nianzie hapa kwa sababu baada ya kuchungulia kwenye hili jukwaa heartbeat zangu zikarudi normal tena. angalau kuna life, na urafiki.
Nimeona pengine nianze tu na observation yangu hii. Kuna watu wamenifurahisha sana mijadala yao lakini kwa kuwa sijawasoma wote sitaki nifanye makosa ya kutaja baadhi na kuacha wengine. Pengine kadri navyozoea basi nitawataja walionifurahisha zaidi.
usiku mwema
mimi ndiyo kwanza nimejiunga. nimefanya ziara ya baadhi ya majukwaa na kuchungulia mijadala michache. Nilipoingia kwenye lile jukwaa la siasa heartbeat zangu ziliongeza kasi kwa sababu inaonekana watu wengi kule wana hasira sana.
Nilipokwenda International kidogo siyo mbaya, hata hayo majukwaa mengine.
Lakini nimeona nianzie hapa kwa sababu baada ya kuchungulia kwenye hili jukwaa heartbeat zangu zikarudi normal tena. angalau kuna life, na urafiki.
Nimeona pengine nianze tu na observation yangu hii. Kuna watu wamenifurahisha sana mijadala yao lakini kwa kuwa sijawasoma wote sitaki nifanye makosa ya kutaja baadhi na kuacha wengine. Pengine kadri navyozoea basi nitawataja walionifurahisha zaidi.
usiku mwema
Jamani naona siku inakaribia kwisha na ninataka kuwatakia happy valentine wote ambao mnatembelea hii thread. Niwataje lakini wachache wenu ambao mmenikaribisha na kunishauri na wengine tume chat kidogo kwenye hii thread.
Lizzy,
Ukwaju,
Remmy
Jaluo Nyeupe
Gaga
Chwechwe
Bigirita
VoiceofReason
Kaizer
LD
Firstlady
Michelle
BlueFace
Gurudumu
Bubu ataka Kusema
Mukoyo
Katavi
Desidii
Mkare
Chetuntu
Happy Valentine all!!!!!:clap2::coffee: