Du Muhosni bora umeligundua hilo, kule Bw ukishabikia adui au kusema ukweli ww ni bastola tu, ni km vichaa wa Manhattan maBlak hawawapendi maBlack wenzao au wageni unataka kuwaharibia move zao.Yaani usipime. utadhani watu wanaonana na wameshikiana bastola? Ingawa mengine ya maana
waheshimiwa,
mimi ndiyo kwanza nimejiunga. nimefanya ziara ya baadhi ya majukwaa na kuchungulia mijadala michache. Nilipoingia kwenye lile jukwaa la siasa heartbeat zangu ziliongeza kasi kwa sababu inaonekana watu wengi kule wana hasira sana.
Nilipokwenda International kidogo siyo mbaya, hata hayo majukwaa mengine.
Lakini nimeona nianzie hapa kwa sababu baada ya kuchungulia kwenye hili jukwaa heartbeat zangu zikarudi normal tena. angalau kuna life, na urafiki.
Nimeona pengine nianze tu na observation yangu hii. Kuna watu wamenifurahisha sana mijadala yao lakini kwa kuwa sijawasoma wote sitaki nifanye makosa ya kutaja baadhi na kuacha wengine. Pengine kadri navyozoea basi nitawataja walionifurahisha zaidi.
usiku mwema
huku kuna stress zaidi husipokuwa makini maana kuna wadau wana michango ya kichefuchefuAsante kunifundisha, nilikuwa sijui, nimekugongea. Nilivyoona kuna baadhi ya watu wana muda mwingi zaidi kujadili jambo hapa. tatizo langu litakuwa muda ingawa naona nitaenjoy sana mara moja moja nikiwa na stress za kazi nakuja huku
Karibu sana katika jukwaa hili, kule kwenye siasa ukiwa na presha unaweza kufa!
Karibu sana hili jukwaa ni stress free kwa kweli, utajifunza mengi ya maisha na usisite kuchangia .
Mbona mimi aziniangukii..., Naomba uniambie siri ya urembo....Muhosni naona unagawa Thanks tu bila uchoyo!!!:clap2:
Mbona mimi aziniangukii..., Naomba uniambie siri ya urembo....
Si natekeleza ushauri wako mamaaa, lakini ukiwa mgeni ukibisha hodi mtu akisema karibu si unatakiwa useme asante eti. Nimekugongea na nyingine tena!
Mbona mimi aziniangukii..., Naomba uniambie siri ya urembo....
Mkuu mimi ni Mkaka lakini Usihofu Hoja hazina Mkaka wala Mdada...., Karibu Sana Ndugu, hapa ni nyumbani usisite kutembelea majukwaa yote ingawa mengine mpaka uwe member (jukwaa la wakubwa - PM invisible)..., Jukwaa la Dini (nadhani PM invisible pia ingawa huko sijawahi kufika) Jukwaa la Premium Members (Changia JF) ingawa na mimi bado ila soon, nataka nikachungulie kuna nini huko ndani, na pia niwape asante hawa wanaoendesha JF...Mkuu ukirudi nyuma kwenye ukurasa wa pili wa hii thread nilikugongea mkuu tena nikapata support ya mdau mwingine mmoja. Hata hivyo nimekugongea tena hapa. Tatizo tu napata shida ya kutambua nani mdada na nani mbaba inanipa shida sana kuandika.
Babu, this is a very nice piece of music which happens to also be my favorite. Thank you very much for welcoming me in this style. I humbly salute you sir!