Hapa piga ua, talaka yangu utatoa tu...

Hapa piga ua, talaka yangu utatoa tu...

Sijui hata mtihani wako wa darasa la saba ulijibu vipi. We umeona kuna utani hapo wa talaka?

Mkuu tania lingine sio talaka itakunyemelea tu ni suala la mda achana utani katika divorce in a blink of an eye mambo yana badilika tena......unalia na hilo bandiko lako linakua relevant kabisa
 
Daahhhh...mtu mzima mwenzangu mwenye akili zake....😜😜😜😜😜😜😍😍😍😍😍😍😍🀩🀩🀩🀩


Msondo ngoma hapa moshi, ngurumo pale momba, masharubu na pembeni mabela na romarii.
Nimekua sina raha apa nyumbani kila Siku maneno yako mama hayaishi mama, nimekua sina amani apa nyumbani kila Siku maneno yako mama hayaishi mama.
Nakupa talaka kwa shingo upande.
 
Mashankupe, wanafik nafik na wambea wanadhani status ya mtu ndo maisha anayoishi....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona mlivurugana na mumeo ukaamua kuzuga baada ya akili kukurudia kuwa talaka sio jibu..


HAKUNA MTU ANAEWEKA STATUS ILI MRADI TU LABDA KIWE KICHEKESHO TENA HASA WANAWAKE...
 
Shoshti mbona umepaniki sana....kulikoni?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona mlivurugana na mumeo ukaamua kuzuga baada ya akili kukurudia kuwa talaka sio jibu..


HAKUNA MTU ANAEWEKA STATUS ILI MRADI TU LABDA KIWE KICHEKESHO TENA HASA WANAWAKE...
 
Binadamu si wa kuwaamini hata. Yaani mtu mwingine ni rafiki lakini kumbe hakutakii mema. Nliusikia huo wimbo wa Bend moja hapa nchini. Wanaimba wanasema hapa piga ua talaka yangu utatoa, ama sivyo ee bwana we nitakuonesha..

Nikaandika kwenye status yangu HAPA PIGA UA TALAKA YANGU UTATOA. Chini kabisa nikaandika jina la Band.

Watu hawakuona jina wameona tu hayo maneno. Walianza kububujika whatsapp wakiniambia tena mume wangu wala asinizingue kama akinipga tena nikamshtaki.

Wengi wamenipa pole na wakaka kutaka nitoke nao ili kupoteza mawazo. Nikawa nashangaa...marafiki zangu wananambia heri niwe huru wanaume wapo wengi.

Waswahili ni wanafiki sana tena wambea.wanawake kwa wanaume.yaani wanaamini mtu msomi anaweza weka maisha yake kwenye mitandao? sikuwajibu kitu. After 24 hrs nmeweka picha nipo na mume wangu wamenyamaza mpaka muda huu kimya.

Nyie jamani sisi binadamu hatupendani kabisa.yaani tunashawishiana kwenye mabaya utadhani sijui nini.khaaaah...mi nmewashindwa kabisa. Wao walishaamini maneno ya huo wimbo ndo maisha yangu.
Pengine wewe uko katika hali ya maigizo na kurusha watu roho. Kuna wanawake wanapitia wakati mgumu katika ndoa, haijalishi usomi wao. Hivyo rafiki na ndugu walitegemea ndicho unachopitia.
Wenzako hawakutakii mabaya katika ndoa yako. Umeeleza hapo, kuna walioshauri, akikupiga tena kamshtaki. Je huwa unapigwa? Au ni nini kilipelekea ushauri huu?
Ukiweka ujumbe tata kama huo, sio wote watakaousoma hadi mwisho na nachelea kuamini kuwa hukuwa na nia ya kuleta sintofahamu kwa watu ili upate kuwasema vibaya.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona mlivurugana na mumeo ukaamua kuzuga baada ya akili kukurudia kuwa talaka sio jibu..


HAKUNA MTU ANAEWEKA STATUS ILI MRADI TU LABDA KIWE KICHEKESHO TENA HASA WANAWAKE...
Sio kweli
Binafsi status zangu 80% ni comedy na 20% mapishi
Personal stuff siweki kabisaaa
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hivi mdogo wangu kwa nini una miakili mingi hivi

Hii miakili sio ya kuuliza kwanini dia sis....ni kitu iko kwenye ukoo wetu

Si unaona na wewe ulivyo na miakili?☺
 
Binadamu si wa kuwaamini hata. Yaani mtu mwingine ni rafiki lakini kumbe hakutakii mema. Nliusikia huo wimbo wa Bend moja hapa nchini. Wanaimba wanasema hapa piga ua talaka yangu utatoa, ama sivyo ee bwana we nitakuonesha..

Nikaandika kwenye status yangu HAPA PIGA UA TALAKA YANGU UTATOA. Chini kabisa nikaandika jina la Band.

Watu hawakuona jina wameona tu hayo maneno. Walianza kububujika whatsapp wakiniambia tena mume wangu wala asinizingue kama akinipga tena nikamshtaki.

Wengi wamenipa pole na wakaka kutaka nitoke nao ili kupoteza mawazo. Nikawa nashangaa...marafiki zangu wananambia heri niwe huru wanaume wapo wengi.

Waswahili ni wanafiki sana tena wambea.wanawake kwa wanaume.yaani wanaamini mtu msomi anaweza weka maisha yake kwenye mitandao? sikuwajibu kitu. After 24 hrs nmeweka picha nipo na mume wangu wamenyamaza mpaka muda huu kimya.

Nyie jamani sisi binadamu hatupendani kabisa.yaani tunashawishiana kwenye mabaya utadhani sijui nini.khaaaah...mi nmewashindwa kabisa. Wao walishaamini maneno ya huo wimbo ndo maisha yangu.
cha msingi angalia contacts zako wewe..sio messages zako....una namba za fundi bomba mama muuza vitumbua muuza mihogo mangi boda boda unategeema uki post something wa react vipi..levels mamaa....au uwe na namba mbili moja official moja social...
 
Back
Top Bottom