Hapa sasa mnatukosea hata sisi ambao huwa tunapenda kuwatendea mema mnataka wote tuwe wahuni?

Hapa sasa mnatukosea hata sisi ambao huwa tunapenda kuwatendea mema mnataka wote tuwe wahuni?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Huyu dada nmeanza naye uhusiano baada ya kukutana naye Mlimani City. Tukale wote na kupata nafasi ya kufahamiana. Then nikamrudisha Chuo. Yupo hapo Chuo cha Ardhi.

Last weekend akanambia yupo bored tu anatamani tupate muda wa kuwa pamoja.nikasema hewala baby unataka iweje akanambia niamue mimi la msingi tu asiwe bored huko aliko.

Nikamwambia jumamosi ntamwambia aje wapi tuanzie hapo na tujue tunamaliza vipi.

Nlienda Hotel moja Mwenge ili tukubaliane kama nichukue room au vipi.maana unaweza chukua room kumbe mwenzio yupo mwezini.ni sehemu yenye utulivu mzuri kwa sisi ambao umri umeenda.

Nikamwambia achukue Uber namwagizia hapo around ntakuja lipa ndivyo ambavyo mimi humfanyia.akakataa.akasema atachelewa kusubiri atachukua tu bajaji.

Kachukua bajaji kafika kwangu namwuliza tsh ngapi anasema tsh 20,000. Kweli jamani kutoka hapo chuo cha ardhi mpaka mwenge kwa Bajaj ni tsh 20,000? Si sawa. Ukichukulia dada mwenyewe ni mjanja kakulia Kijitonyama hawawezi mcharge umbali huo kwa 20,000.

Nlimuuliza tena akasema ni tsh 20,000 tena kamshusha ilikuwa iwe 25,000. Nlimpa hiyo pesa but alishanitibua kwa kweli. Niliwaza huyu dada si mwaminifu au basi hana uchungu na pesa yangu.

Nlikuwa nawaza kuchukua naye chumba nikaahirisha maana nliona pengine nadate Mdangaji. Tumeagiza chakula na vinywaji but mimi kimwili nilikuwa naye kiroho sikuwa naye kabisa.

Baadaye nimkampa 20,000 ya nauli nikamwambia tu nmepata dharura.nikalipia kila kitu.nikaondoka. njiani nika delete na namba yake. Jioni na usiku alinitafuta sana. Sikutaka tena ukaribu.

Leo amenipigia tena anasema anaomba tuonane tuongee. Kiukweli nmekuwa mzito sababu nmeona alinichukulia mimi fala sana au bwege. Kitu ambacho kimeniumiza sana. Sometimes tunatamani kuwa gentlemen but kuna wanawake wanaturudisha kwenye uhuni.

Ni vyema ukipata mtu anaku treat vizuri nawe um treat vizuri mheshimiane.
 
Pole sana mdau.pole sana... Of course inakatisha tamaa sana.yaani kwa kweli
 
tulia bwana wewe, sasa sii ulishajua huyu ni kusasambua mbususu na kumtopa kule. wee onanan nae na hakikisha mbususu unaichakata vibaya mno. baada ya hapo wewe unamute tuu. usiache chance ipite hivi hivi bro...kasasambe mbususu hiyo.
Bro ..wewe unadhani kumtafuna ndio utakuwa umemkomoa?[emoji16] Never ever sio kwa humanoid specie ya jinsia ke kwenye dunia ya sasa ... binafsi nimemkubali sana mleta mada kutotembea na huyo manze (if it's true story) kwa sababu amemwachia huyo manze psychological torture na lazima huyo manze atakuwa guilty Sana
 
Nlienda Hotel moja Mwenge ili tukubaliane kama nichukue room au vipi.maana unaweza chukua room kumbe mwenzio yupo mwezini.ni sehemu yenye utulivu mzuri kwa sisi ambao umri umeenda.
Mkuu, take it easy..

Umesema umri wako umeenda, na huyo binti it seems ni mdogo tu.

Hapo binti anajua kabisa hakuna future ya maana kwny mahusiano hayo.

Interest yako ni papuchi ambayo haijatumika Sana, na yeye ni kukukamua mkwanja.

Kimsingi ww mpe mpunga, tandika K.

Mkichokana huko mbele mtabwagana.

Watu wana t*mbea nyumba au gari itakuwa hyo 20K?!!!
 
Bro ..wewe unadhani kumtafuna ndio utakuwa umemkomoa?[emoji16] Never ever sio kwa humanoid specie ya jinsia ke kwenye dunia ya sasa ... binafsi nimemkubali sana mleta mada kutotembea na huyo manze (if it's true story) kwa sababu amemwachia huyo manze psychological torture na lazima huyo manze atakuwa guilty Sana
Problem yenyuu ni kwamba mna asume kwamba eti wanaume wagegedaji kama kina mzabzab tunagegeda mbususu ili kukomoa mwanamke. Naomba uelewe ya kuwa sie ambao ni sex addicts we live for sex nothing more nothing less. Hatunaga ujinga wakushindana na mbususu, tunachotaka sie ni kusasambua as many mbususu as our pockets and opportunities will allow.
 
  • Thanks
Reactions: T11
Waume za watu mtulie na wake zenu tofauti na hapo kuchunwa ni lazima.

Ukimchuna kaka wa watu ambae hajaoa kuna ile huruma kuwa " who knows? Wenda akawa mme wangu😂
Sasa wewe mme wa mtu unataka usichunwe kwa lip? Si ubaki na mkeo?
 
Bro ..wewe unadhani kumtafuna ndio utakuwa umemkomoa?[emoji16] Never ever sio kwa humanoid specie ya jinsia ke kwenye dunia ya sasa ... binafsi nimemkubali sana mleta mada kutotembea na huyo manze (if it's true story) kwa sababu amemwachia huyo manze psychological torture na lazima huyo manze atakuwa guilty Sana
Mbona Manzeee hahahhahahahhahahhaahauahaahauahaahaauahauahauahaauaaaua nacheka ki zwangedaba
 
Mkuu, take it easy..

Umesema umri wako umeenda, na huyo binti it seems ni mdogo tu.

Hapo binti anajua kabisa hakuna future ya maana kwny mahusiano hayo.

Interest yako ni papuchi ambayo haijatumika Sana, na yeye ni kukukamua mkwanja.

Kimsingi ww mpe mpunga, tandika K.

Mkichokana huko mbele mtabwagana.

Watu wana t*mbea nyumba au gari itakuwa hyo 20K?!!!
Naposema umri umeenda maana yake mimi si wa 20s. But pia ni kuonesha ni mtu ambaye tayari ni matured.binafsi napenda msichana mwenye akili. Huwa sichukui tu ili mradi. Sasa huyu ameonesha hana akili hata kama yupo chuo.
 
Waume za watu mtulie na wake zenu tofauti na hapo kuchunwa ni lazima.

Ukimchuna kaka wa watu ambae hajaoa kuna ile huruma kuwa " who knows? Wenda akawa mme wangu😂
Sasa wewe mme wa mtu unataka usichunwe kwa lip? Si ubaki na mkeo?
Sijui kama nmezungumzia mke. Nmejizungumzia mimi tu sijasema kama nlikuwa na mke au vipi. But shida si kuomba pesa. Angeomba wala si tatizo.tatizo ni kutaka nifanya bwege. Tofautisha mtu kuomba pesa kuwa ana mahitaji flani na kujifanya mjanja kuniona mimi bwege.
 
Mkuu, take it easy..

Umesema umri wako umeenda, na huyo binti it seems ni mdogo tu.

Hapo binti anajua kabisa hakuna future ya maana kwny mahusiano hayo.

Interest yako ni papuchi ambayo haijatumika Sana, na yeye ni kukukamua mkwanja.

Kimsingi ww mpe mpunga, tandika K.

Mkichokana huko mbele mtabwagana.

Watu wana t*mbea nyumba au gari itakuwa hyo 20K?!!!
But shida si kuomba pesa. Angeomba wala si tatizo.tatizo ni kutaka nifanya bwege. Tofautisha mtu kuomba pesa kuwa ana mahitaji flani na kujifanya mjanja kuniona mimi bwege. Na mimi sina ukame wa hizo kitu.
 
Back
Top Bottom