Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
-
- #21
Sijashindwa ku mpiga na mjegejo. Ila napenda kuwa na mwanamke mwye akili siyo mli mradi tu.Mtengee laki mbili mmalize....
baada ya hapo unakuwa unapiga miruzi tu....
kujaaaa
But shida si kuomba pesa. Angeomba wala si tatizo.tatizo ni kutaka nifanya bwege. Tofautisha mtu kuomba pesa kuwa ana mahitaji flani na kujifanya mjanja kuniona mimi bwege.Ingia kwenye mahusiano na mtu anayaelewa na kuendana na kiwango cha uchumi wako.
#Nawakumbusha
Watu type yenu ni wale wa confirmation bias ... Machafu yako unataka na wengine nao wawe wanafanya...ndio maana hapo umetumia" sisi " badala ya neno "mimi" [emoji16][emoji16] bro hili dunia sio kila kitu ni kwa kila mtu ohoo.Problem yenyuu ni kwamba mna asume kwamba eti wanaume wagegedaji kama kina mzabzab tunagegeda mbususu ili kukomoa mwanamke. Naomba uelewe ya kuwa sie ambao ni sex addicts we live for sex nothing more nothing less. Hatunaga ujinga wakushindana na mbususu, tunachotaka sie ni kusasambua as many mbususu as our pockets and opportunities will allow.
Sasa kwani kugegedana uchafi gani tena jamani?Watu type yenu ni wale wa confirmation bias ... Machafu yako unataka na wengine nao wawe wanafanya...ndio maana hapo umetumia" sisi " badala ya neno "mimi" [emoji16][emoji16] bro hili dunia sio kila kitu ni kwa kila mtu ohoo.
Ni wajasilia mwili mkuuUmeshasema umekutana nae mlimani city, your first impression imekuponza. asilimia kubwa ya manzi wa mlimani City wanaojifanya wapo chuo ni wajasiliamali.
Next time jiandae kununua macho matatu.
Unapenda wanawake wenye akili halafu unachukua wanavyuo?Naposema umri umeenda maana yake mimi si wa 20s. But pia ni kuonesha ni mtu ambaye tayari ni matured.binafsi napenda msichana mwenye akili. Huwa sichukui tu ili mradi. Sasa huyu ameonesha hana akili hata kama yupo chuo.
Usichukulie hasira mkuu. Kwa kawaida reasoning ya KE ni tofauti sana na ME. Na ndo sabb tukaambiwa tuishi nao kwa akiliBut shida si kuomba pesa. Angeomba wala si tatizo.tatizo ni kutaka nifanya bwege. Tofautisha mtu kuomba pesa kuwa ana mahitaji flani na kujifanya mjanja kuniona mimi bwege. Na mimi sina ukame wa hizo kitu.
Dooh!Mkuu 20k tu?
Kwani ulikua na future nae?
Toka asubuhi nishatumia 250k kwa nyapu 2, moja nimeichakata mchana kutwa, nyingine ndio iko bedi hapa naichakata. Zote za chuo.
Hii ya sasa hivi ndio ina vituko, imekuja geto kwa sharti kua sitaifanya kitu. Nikasema sawa nitaomba unipe denda tu, ikasema itaangalia.
Imefika ikaoga, ikavaa nguo za kulalia tena za kubana eti nisije kuila. Nimebembeleza weeee imekubali kunipa denda, hapa ilipo haiamini kilichotokea, eti inalia nimeenda kinyume na promise yangu kua sitaila huku yenyewe ishakula zaidi ya 100k.
Amelia weee, akasema anaondoka lakini naona hasira zimeisha imetulia, imejilalia hapa ila sasa haijavaa nguo tena, naivutia timing niichakate cha kulalia angalau akili imkae sawa.
Hii nimeiambia kesho asubuhi nawahi kuondoka ili nitoke nayo kwani sa 3 demu wangu anakuja hakuwepo muda kidogo nije kumchakata.
Kesho jioni naenda Mwanza kuchakata moja hivi inasoma Saut, ilikua likizo kwao Moshi baba yake eti hua anaipeleka Mwanza anahakikisha imefika geto ndio anarudi, sasa kesho naichakata vibaya, toto ya 2002 chuo first year.