Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Heshima ni kuongeza point ambazo zinawezesha nchi kutoa jumla ya timu nne mashindano ya CAF...Heshima ni kubeba makombe tu. Vinginevyo ni ahsante kwa kushiriki
Zipo na zitaendelea kuishi mileleHizi heshima tulizojijengea kimataifa muhimu tuzisimamie kwa makini ziendelee kuishi
Kwa hapo aisee tusijidanganye Yale ya rivers yanajirudia tenaHata Yanga mnaemuona underdog kwa Al Hillaly anaweza kuwashangaza
Hiyo ipo wazi mzeeKwa hapo aisee tusijidanganye Yale ya rivers yanajirudia tena
Kwani warabu hawafanyi fitna wakiwa nyumbani Africa hakuna team ambayo haifanyi fitna ikiwa nyumbani inatofautiana aina ya fitna tu.Uchawi, kula makaburini na kunyunyiza dawa vyumbani.