Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio,Chunya, Saza,MakongorosiUmesema mbeya hakuna?
Hawana kazi labda na umeme. Mkoa wa mwisho kwenye orodha ya TRASingida kawaida yao umeme kukatika sijui huwa kuna shida gani
I wonder.!Umesema mbeya hakuna?
Mkoa wa mbeya, wilaya ya Chunya, songwe, Lupa, saza,Makongoro, mbalizi,kote huko ni gizaI wonder.!
Mzee upo misungwi hapo?, nina ka trip ka huko ila sijui ni lini.Hapa Misungwi upo!
Karibu sana.Mzee upo misungwi hapo?, nina ka trip ka huko ila sijui ni lini.
iki pendeza nita kuja tuchome k mbuzi na maziwa mgando.
Whabeja sana, Mwanawane 🤣😂.Karibu sana.
Utakula nyama mpaka ukimbie. Hata ukitaka zile "nyama" zingine pia zipo za kumwaga tena grade A kabisa ndembendembe 😂🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Acha uongo we bwege.b1. Singida hakuna
2. Mbeya hakuna
3. Arusha hakuna
4. Kilimanjaro hakuna
Ndūhū tabu nzuna wane. Ūgūlya nyama sha mbūli shaboche na gūchima makima amadako matale mpaga ūnoge guke.Whabeja sana, Mwanawane 🤣😂.
siku niki fika nta kucheki wawa.
Kafanye siasa majukwaani kwa ID halali acha uzushi na siasa za majitakaMnasemaga samia mitano tena na kuiponda chadema. Nyie ni wehu na hamjielewi
ndugu zetu mods hawawezi elewa hii, nime cheka hapo kwa makima 😂🤣Ndūhū tabu nzuna wane. Ūgūlya nyama sha mbūli shaboche na gūchima makima amadako matale mpaga ūnoge guke.
Nzūgū!
Arusha gan hiyo haina umeme? Yaan ukatike mtaani kwako basi iwe nongwa?1. Singida hakuna
2. Mbeya hakuna
3. Arusha hakuna
4. Kilimanjaro hakuna
Hapo kwenye muda sijaelewa😒TAARIFA YA MATENGENEZO YA DHARURA KWENYE MIUNDO MBINU YETU YA UMEME
Habari wapendwa wateja wetu
Tunaomba kuwataarifu kuwa tunalazimika kuzima huduma ya umeme ili kuruhusu mafundi Kuunganisha mradi utakaosaidia kuboresha upatikanaji wa umeme maeneo ya ubungo makao makuu.
SIKU: Jumamosi
TAREHE. 15/03/2025
MUDA
Kuanzia Saa 04:30 Asubuhi Hadi Saa 05:00 Asubuhi kwa muda wa nusu saa
MAENEO YANAYOATHIRIKA
KMARA, KIBO, KIMARA ROMBO, KIMARA BARUTI, DOCHA, KONA, KIMARA BUCHA, KOROGWE, RESORT, KIMARA MWISHO, KIMARA MAVURUNZA, GOLANI, KIMARA MICHUNGWANI, MATETE, KAM COLLEGE, EBONITE NA MAENEO YA JIRANI, Tanroad ubungo , PVC ubungo na Maeneo Jirani.
Tunawaomba radhi wateja wetu kipindi hiki tunachoendelea kuboresha miundombinu ya umeme.
Kwa taarifa au ulizo wasilana nasi kwa namba 0756251753 au 0748550000
Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano na Huduma kwa Wateja
Tanesco Kinondoni Kusini
15/03/2025
Hata hapa Manawa ginery upoHapa Misungwi upo!
Chunya siyo mbeya mkuuNdio,Chunya, Saza,Makongorosi