Hapa ulipo Kuna umeme Leo?

Mzee upo misungwi hapo?, nina ka trip ka huko ila sijui ni lini.

iki pendeza nita kuja tuchome k mbuzi na maziwa mgando.
Karibu sana.

Utakula nyama mpaka ukimbie. Hata ukitaka zile "nyama" zingine pia zipo za kumwaga tena grade A kabisa ndembendembe 😂🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
1. Singida hakuna
2. Mbeya hakuna
3. Arusha hakuna
4. Kilimanjaro hakuna
Arusha gan hiyo haina umeme? Yaan ukatike mtaani kwako basi iwe nongwa?

Hebu tuweni na staha na kuvumilia mambo madogo yanayoweza kutolewa ufafanuzi.

Huku ni kuleta taharuki tu.
 
Hapo kwenye muda sijaelewa😒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…