Sawa kabisa, hawa viumbe usipowajulia utajuta kuwajua!Ndio ujiulize Kwa Nini Mungu alisema haya
1 peter 3:7 Kadhalika ninyi waume kaeni na wake zenu kwa AKILI ................
Mungu amewapa uwezo mkubwa wa kiakili na wana ''manipulative power'' (they can easily manipulate and be manipulated)
Sawa kabisa, hawa viumbe usipowajulia utajuta kuwajua!
Kuna mifano mingi kuonyesha hiyo, unjua wowote tutafakari pamoja
"Nature has given women so much power that the law has very wisely given them little."
Ndio nguvu zao hizo.Khaa!! Mbona tunaambiwa kati ya siku 3 - 5 kwa mwezi huwa nusu vichaa kwasababu za kibiologia? Mbona tunaambiwa tuishi nao kwa akili? Mbona tunaambiwa mwalimu wao ni kipofu? Nauliza tu..
Note: Nina bibi, mama, shangazi, dada na shemeji..
"Nature has given women so much power that the law has very wisely given them little."
Kuna huyu tuliyeambiwa Jana na askofu
Na ilikuwepo kabla yangunilikua nataraj kusoma koment ya namna hii,na zitakuja nyingi.
Strenth of the Woman'