Kule ktk jukwaaa la siasa watz wenyewe tulianzisha nyuzi kibbaoo za ndege kukamatwa na kujadili chanzo chake labda ulikua umelewa chang'aa na kushiba chapoo ukalala.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndege imewachiliwa leo huku hatutolala Hadi Uzi ukaanzishwa na Mdanganyika ila ule wa kukumatwa ilibidi Wakenya wauanzishe.
Kule Mimi huingia bila kuchangia katika nyuzi zile, na Ni haki yangu kuzileta hizo habari humu sekshen ya Kenya ili kuwakumbusha mazuzu Kama nyinyi kuwa tunajua mapungufu yenu hata mkijaribu kuyaficha...bure kabisa.Kule ktk jukwaaa la siasa watz wenyewe tulianzisha nyuzi kibbaoo za ndege kukamatwa na kujadili chanzo chake labda ulikua umelewa chang'aa na kushiba chapoo ukalala.
Umeelewa nilichoongea mwasiti??!!!Kule Mimi huingia bila kuchangia katika nyuzi zile, na Ni haki yangu kuzileta hizo habari humu sekshen ya Kenya ili kuwakumbusha mazuzu Kama nyinyi kuwa tunajua mapungufu yenu hata mkijaribu kuyaficha...bure kabisa.