Kule ktk jukwaaa la siasa watz wenyewe tulianzisha nyuzi kibbaoo za ndege kukamatwa na kujadili chanzo chake labda ulikua umelewa chang'aa na kushiba chapoo ukalala.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndege imewachiliwa leo huku hatutolala Hadi Uzi ukaanzishwa na Mdanganyika ila ule wa kukumatwa ilibidi Wakenya wauanzishe.