Kuna mambo nimejifunza kwa watu, na mengine nimejifunza kupitia humuhumu JF, Dah, yaani wakuu nahisi kabisa naelekea kuwa mchawi, yaani........ Naomba wanielewe tu watakaonielewa inatosha ingawa wengine watakuwa wagumu na pengine kuhitaji ufafanuzi zaidi, sitafafanu nasisitiza sitafafanua zaidi ya kusema tu hapa JF unaweza kujifunza hata uchawi KAZI KWAKO KUCHAGUA .