Hapatakua na uchaguzi wa round ya pili, huenda Freeman Mbowe akachaguliwa kua mwenyekiti wa CHADEMA kwa kura zaidi ya 700 za wajumbe wote

Hapatakua na uchaguzi wa round ya pili, huenda Freeman Mbowe akachaguliwa kua mwenyekiti wa CHADEMA kwa kura zaidi ya 700 za wajumbe wote

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Huenda Freeman Aikaeli Mbowe akatangazwa mshindi wa uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa kujizolea kura zaidi ya 700 za wajumbe halali waliothibitishwa kua wapiga kura na kamati kuu.

Ni wazi na ukweli usiofichika kwamba kanda zenye wajumbe wengi zaidi wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa ni ngome imara za Freeman Aikaeli Mbowe, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huo wa CHADEMA Taifa kwa kishindo kikuu.

Vyote itakavyokua, numbers zina mfavor Freeman Aikaeli Mbowe kwa namna zote.

Anakwenda kushinda uenyekiti kwa kupata kura kutoka katika kila kanda ya kiutawala ya CHADEMA, ukilinganisha na wagombea uongozi wengine ambao wana ushawishi na umaarufu mkubwa mitandoni na nje ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa.

Wagombea uongozi wengine katika uchaguzi huu wa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, hakuna atakapata kura zaidi ya mia2 hata wakiungana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Huenda Freeman Aikaeli Mbowe akatangazwa mshindi wa uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa kujizolea kura zaidi ya 700 za wajumbe halali waliothibitishwa kua wapiga kura na kamati kuu.

Ni wazi na ukweli usiofichika kwamba kanda zenye wajumbe wengi zaidi wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa ni ngome imara za Freeman Aikaeli Mbowe, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huo wa CHADEMA Taifa kwa kishindo kikuu.

Vyote itakavyokua, numbers zina mfavor Freeman Aikaeli Mbowe kwa namna zote.

Anakwenda kushinda uenyekiti kwa kupata kura kutoka katika kila kanda ya kiutawala ya CHADEMA, ukilinganisha na wagombea uongozi wengine ambao wana ushawishi na umaarufu mkubwa mitandoni na nje ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa.

Wagombea uongozi wengine katika uchaguzi huu wa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, hakuna atakapata kura zaidi ya mia2 hata wakiungana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kisha utabubujikwa machozi ya furaha huku ukivua nguo barabarani kama lucas chawa
 
Huenda Freeman Aikaeli Mbowe akatangazwa mshindi wa uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa kujizolea kura zaidi ya 700 za wajumbe halali waliothibitishwa kua wapiga kura na kamati kuu.

Ni wazi na ukweli usiofichika kwamba kanda zenye wajumbe wengi zaidi wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa ni ngome imara za Freeman Aikaeli Mbowe, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huo wa CHADEMA Taifa kwa kishindo kikuu.

Vyote itakavyokua, numbers zina mfavor Freeman Aikaeli Mbowe kwa namna zote.

Anakwenda kushinda uenyekiti kwa kupata kura kutoka katika kila kanda ya kiutawala ya CHADEMA, ukilinganisha na wagombea uongozi wengine ambao wana ushawishi na umaarufu mkubwa mitandoni na nje ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa.

Wagombea uongozi wengine katika uchaguzi huu wa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, hakuna atakapata kura zaidi ya mia2 hata wakiungana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kwa faida ya nani,,,?? Media na polls zotee zinaonyesha MBOWE amezidiwaa....LISU ONLINE Anaongoza kwa 85, %%
 
Kwa faida ya nani,,,?? Media na polls zotee zinaonyesha MBOWE amezidiwaa....LISU ONLINE Anaongoza kwa 85, %%
kura za wajumbe zimethibitishwa tayar gentleman,

niambie kanda 4 tu ambazo Lisu anaweza kumshinda mbowe
kati ya zilivyoorodheshwa ?🐒

huko online mlikua wajumbe wangapi kwa mfano gentleman kwa faida ya waDau ?
 
ungetuchambulia hizo kura umehesabuje mpaka ukapata 700+,
kumbuka kwenye hzo kanda sio wajumbe wooote watamchagua mtu mmoja, mwenyekiti wa kanda na safi yake ya juu wanaweza kua team flan lkn wale wa chini hawatabiriki
 

Attachments

  • downloadfile-7.jpg
    downloadfile-7.jpg
    723.1 KB · Views: 4
ungetuchambulia hizo kura umehesabuje mpaka ukapata 700+,
kumbuka kwenye hzo kanda sio wajumbe wooote watamchagua mtu mmoja, mwenyekiti wa kanda na safi yake ya juu wanaweza kua team flan lkn wale wa chini hawatabiriki
kwa mfano kanda ya kaskazini kati ya wajumbe 118, ni wazi 100 watampigia mbowe zilizobaki watagawana wengine,

kwenye kanda zenye wajumbe chini ya mia, ni wazi mbowe hawezi kukosa kura chini ya 65, huku zile zenye wajumbe chini ya 80, mbowe anaweza kupata kura zaidi ya 60 zilizobaki watagawana wengine.

Ku na kanda mbowe anauwezekano akakomba kura zote wengine wakagawana sifuri gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom