Hapatakua na uchaguzi wa round ya pili, huenda Freeman Mbowe akachaguliwa kua mwenyekiti wa CHADEMA kwa kura zaidi ya 700 za wajumbe wote

Hapatakua na uchaguzi wa round ya pili, huenda Freeman Mbowe akachaguliwa kua mwenyekiti wa CHADEMA kwa kura zaidi ya 700 za wajumbe wote

BAVICHA wamezitafuna sana hizo tangu jana 🐒
1000228255.jpg
 
kura za wajumbe zimethibitishwa tayar gentleman,

niambie kanda 4 tu ambazo Lisu anaweza kumshinda mbowe
kati ya zilivyoorodheshwa ?🐒

huko online mlikua wajumbe wangapi kwa mfano gentleman kwa faida ya waDau ?
Gentleman 😊 Kuna polls hapa jfs, millad ayo e.t.c...

Gentleman 😊 yaan kwa simple logic ukimsikiliza HECHE na WENJE unajua makapi,pumba Michele.


WENJE ni kasha hawezi kujielezea ( can't express himself better in a minutes,,)

WENJE almanusra ameze ULIMI.
 
Huenda Freeman Aikaeli Mbowe akatangazwa mshindi wa uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa kujizolea kura zaidi ya 700 za wajumbe halali waliothibitishwa kua wapiga kura na kamati kuu.

Ni wazi na ukweli usiofichika kwamba kanda zenye wajumbe wengi zaidi wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa ni ngome imara za Freeman Aikaeli Mbowe, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huo wa CHADEMA Taifa kwa kishindo kikuu.

Vyote itakavyokua, numbers zina mfavor Freeman Aikaeli Mbowe kwa namna zote.

Anakwenda kushinda uenyekiti kwa kupata kura kutoka katika kila kanda ya kiutawala ya CHADEMA, ukilinganisha na wagombea uongozi wengine ambao wana ushawishi na umaarufu mkubwa mitandoni na nje ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa.

Wagombea uongozi wengine katika uchaguzi huu wa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, hakuna atakapata kura zaidi ya mia2 hata wakiungana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hivi wewe ccm mbona mkuda kiasi hiki?
 
Gentleman 😊 Kuna polls hapa jfs, millad ayo e.t.c...

Gentleman 😊 yaan kwa simple logic ukimsikiliza HECHE na WENJE unajua makapi,pumba Michele.


WENJE ni kasha hawezi kujielezea ( can't express himself better in a minutes,,)

WENJE almanusra ameze ULIMI.
Kumbe upo mpk huku.....

Sasa kumekuchaaa jogooo ameshawikaaa....
😂😂
 
Gentleman 😊 Kuna polls hapa jfs, millad ayo e.t.c...

Gentleman 😊 yaan kwa simple logic ukimsikiliza HECHE na WENJE unajua makapi,pumba Michele.


WENJE ni kasha hawezi kujielezea ( can't express himself better in a minutes,,)

WENJE almanusra ameze ULIMI.
numbers matters more gentleman.

kujieleza ni taaluma.
wakati nasoma pale chuo cha diplomasia, kuna somo la confidence building kabisa,as a diplomatic Lazima uwe jasiri mwenye kujieleza kwa mpangilio,

huku kwenye siasa point tatu ndio muhimu zaidi mwenye game 🐒
 
Kwa faida ya nani,,,?? Media na polls zotee zinaonyesha MBOWE amezidiwaa....LISU ONLINE Anaongoza kwa 85, %%
Media nd wanaopiga kura? Mihemko ishashinda mitandaoni na numbers zitaongea ukumbini. Awe Mbowe awe Lissu, Chadema hii itachukuwa muda mrefu sana kurudi kama ya zamani kama sio kufa kabisa. Kwa hali nnayoiona, upinzani bado sana.
 
Mbowe akishinda kwa namna yoyote ila nitafedheheka.. Kiu yangu kuona Odero au Lissu anashinda ili kuonesha hiyo demokrasia, iweje uhubiri demokrasia halafu uatamie kiti miaka 20.. !!!
 
Ukiona mwenyekiti wa upinzani anapigiwa chapuo na ccm ujue kunashida ndani yake.

Eti leo ccm wanamtaka mbowe aise kweli mbowe ananunulika kwa pombe tu
E. MuNGU MSAIDIE LISSU.
 
Media nd wanaopiga kura? Mihemko ishashinda mitandaoni na numbers zitaongea ukumbini. Awe Mbowe awe Lissu, Chadema hii itachukuwa muda mrefu sana kurudi kama ya zamani kama sio kufa kabisa. Kwa hali nnayoiona, upinzani bado sana.
Giza ( mbowe) huondolewaa na Nuru (lisu) na iwe ivyo...
 
Huenda Freeman Aikaeli Mbowe akatangazwa mshindi wa uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa kujizolea kura zaidi ya 700 za wajumbe halali waliothibitishwa kua wapiga kura na kamati kuu.

Ni wazi na ukweli usiofichika kwamba kanda zenye wajumbe wengi zaidi wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa ni ngome imara za Freeman Aikaeli Mbowe, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huo wa CHADEMA Taifa kwa kishindo kikuu.

Vyote itakavyokua, numbers zina mfavor Freeman Aikaeli Mbowe kwa namna zote.

Anakwenda kushinda uenyekiti kwa kupata kura kutoka katika kila kanda ya kiutawala ya CHADEMA, ukilinganisha na wagombea uongozi wengine ambao wana ushawishi na umaarufu mkubwa mitandoni na nje ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa.

Wagombea uongozi wengine katika uchaguzi huu wa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, hakuna atakapata kura zaidi ya mia2 hata wakiungana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Hilooooooo! Chali. Jinga. Matapeli mwaka huu yote mnakwisha. Mzazi wako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Huenda Freeman Aikaeli Mbowe akatangazwa mshindi wa uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa kujizolea kura zaidi ya 700 za wajumbe halali waliothibitishwa kua wapiga kura na kamati kuu.

Ni wazi na ukweli usiofichika kwamba kanda zenye wajumbe wengi zaidi wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa ni ngome imara za Freeman Aikaeli Mbowe, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huo wa CHADEMA Taifa kwa kishindo kikuu.

Vyote itakavyokua, numbers zina mfavor Freeman Aikaeli Mbowe kwa namna zote.

Anakwenda kushinda uenyekiti kwa kupata kura kutoka katika kila kanda ya kiutawala ya CHADEMA, ukilinganisha na wagombea uongozi wengine ambao wana ushawishi na umaarufu mkubwa mitandoni na nje ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa.

Wagombea uongozi wengine katika uchaguzi huu wa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, hakuna atakapata kura zaidi ya mia2 hata wakiungana 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Screenshot_20250122_082819.jpg
 
Back
Top Bottom