GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
BAVICHA wamezitafuna sana hizo tangu jana 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAVICHA wamezitafuna sana hizo tangu jana 🐒
Gentleman 😊 Kuna polls hapa jfs, millad ayo e.t.c...kura za wajumbe zimethibitishwa tayar gentleman,
niambie kanda 4 tu ambazo Lisu anaweza kumshinda mbowe
kati ya zilivyoorodheshwa ?🐒
huko online mlikua wajumbe wangapi kwa mfano gentleman kwa faida ya waDau ?
Hivi wewe ccm mbona mkuda kiasi hiki?Huenda Freeman Aikaeli Mbowe akatangazwa mshindi wa uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa kujizolea kura zaidi ya 700 za wajumbe halali waliothibitishwa kua wapiga kura na kamati kuu.
Ni wazi na ukweli usiofichika kwamba kanda zenye wajumbe wengi zaidi wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa ni ngome imara za Freeman Aikaeli Mbowe, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huo wa CHADEMA Taifa kwa kishindo kikuu.
Vyote itakavyokua, numbers zina mfavor Freeman Aikaeli Mbowe kwa namna zote.
Anakwenda kushinda uenyekiti kwa kupata kura kutoka katika kila kanda ya kiutawala ya CHADEMA, ukilinganisha na wagombea uongozi wengine ambao wana ushawishi na umaarufu mkubwa mitandoni na nje ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa.
Wagombea uongozi wengine katika uchaguzi huu wa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, hakuna atakapata kura zaidi ya mia2 hata wakiungana 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Martin kumbe naye ni kijana wa hovyo?
Kumbe upo mpk huku.....Gentleman 😊 Kuna polls hapa jfs, millad ayo e.t.c...
Gentleman 😊 yaan kwa simple logic ukimsikiliza HECHE na WENJE unajua makapi,pumba Michele.
WENJE ni kasha hawezi kujielezea ( can't express himself better in a minutes,,)
WENJE almanusra ameze ULIMI.
numbers matters more gentleman.Gentleman 😊 Kuna polls hapa jfs, millad ayo e.t.c...
Gentleman 😊 yaan kwa simple logic ukimsikiliza HECHE na WENJE unajua makapi,pumba Michele.
WENJE ni kasha hawezi kujielezea ( can't express himself better in a minutes,,)
WENJE almanusra ameze ULIMI.
Media nd wanaopiga kura? Mihemko ishashinda mitandaoni na numbers zitaongea ukumbini. Awe Mbowe awe Lissu, Chadema hii itachukuwa muda mrefu sana kurudi kama ya zamani kama sio kufa kabisa. Kwa hali nnayoiona, upinzani bado sana.Kwa faida ya nani,,,?? Media na polls zotee zinaonyesha MBOWE amezidiwaa....LISU ONLINE Anaongoza kwa 85, %%
Anha , wacha nilale tuhii ngoma ni hadi sasa 9 au saa 10 gentleman 🐒
Yaani vijana wa lissu ni zaidi ya misukulehii imeenda gentleman 🐒
Mmoja kaolewa jana na Jimama la BawachaBAVICHA wamezitafuna sana hizo tangu jana 🐒
Giza ( mbowe) huondolewaa na Nuru (lisu) na iwe ivyo...Media nd wanaopiga kura? Mihemko ishashinda mitandaoni na numbers zitaongea ukumbini. Awe Mbowe awe Lissu, Chadema hii itachukuwa muda mrefu sana kurudi kama ya zamani kama sio kufa kabisa. Kwa hali nnayoiona, upinzani bado sana.
Hilooooooo! Chali. Jinga. Matapeli mwaka huu yote mnakwisha. Mzazi wako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisaHuenda Freeman Aikaeli Mbowe akatangazwa mshindi wa uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa kujizolea kura zaidi ya 700 za wajumbe halali waliothibitishwa kua wapiga kura na kamati kuu.
Ni wazi na ukweli usiofichika kwamba kanda zenye wajumbe wengi zaidi wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa ni ngome imara za Freeman Aikaeli Mbowe, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huo wa CHADEMA Taifa kwa kishindo kikuu.
Vyote itakavyokua, numbers zina mfavor Freeman Aikaeli Mbowe kwa namna zote.
Anakwenda kushinda uenyekiti kwa kupata kura kutoka katika kila kanda ya kiutawala ya CHADEMA, ukilinganisha na wagombea uongozi wengine ambao wana ushawishi na umaarufu mkubwa mitandoni na nje ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa.
Wagombea uongozi wengine katika uchaguzi huu wa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, hakuna atakapata kura zaidi ya mia2 hata wakiungana 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Huenda Freeman Aikaeli Mbowe akatangazwa mshindi wa uenyekiti wa CHADEMA Taifa kwa kujizolea kura zaidi ya 700 za wajumbe halali waliothibitishwa kua wapiga kura na kamati kuu.
Ni wazi na ukweli usiofichika kwamba kanda zenye wajumbe wengi zaidi wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa ni ngome imara za Freeman Aikaeli Mbowe, na kwahivyo anakwenda kushinda uchaguzi huo wa CHADEMA Taifa kwa kishindo kikuu.
Vyote itakavyokua, numbers zina mfavor Freeman Aikaeli Mbowe kwa namna zote.
Anakwenda kushinda uenyekiti kwa kupata kura kutoka katika kila kanda ya kiutawala ya CHADEMA, ukilinganisha na wagombea uongozi wengine ambao wana ushawishi na umaarufu mkubwa mitandoni na nje ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA Taifa.
Wagombea uongozi wengine katika uchaguzi huu wa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, hakuna atakapata kura zaidi ya mia2 hata wakiungana 🐒
Mungu Ibariki Tanzania