Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Watu wasio na hela utawajua tu. Mnashangaa pete ya dola 76,000.00....teheteheteheeee
wala hatujashangaa mie nimesikitika 😉😛
Watu wasio na hela utawajua tu. Mnashangaa pete ya dola 76,000.00....teheteheteheeee
Sina hela kweli kibanda changu ninachoishi ndio kinaweza kufikia hiyo thamani lazima nishangae. Na pia ni mshahara wangu wa miaka 10 kwa mahesabu ya haraka.
We mwenye mihela tukopeshe tuendeleze jamiiforums basi.
Nioneshe niliposema mimi nina mihela...
Limbukeni hana siri.
Leka
Sina hela kweli kibanda changu ninachoishi ndio kinaweza kufikia hiyo thamani lazima nishangae. Na pia ni mshahara wangu wa miaka 10 kwa mahesabu ya haraka.
We mwenye mihela tukopeshe tuendeleze jamiiforums basi.
Bei ya pete aliyovishwa binti Magese si shughuli yetu, ni yake yeye na familia yake na rafiki zake. What's next, utatuambia kavaa chupi ya bei gani?
Sema huyo fisadi kafisadi wapi na kivipi.Vinginevyo unaweza kuleta gele na chuki za kimasikini tu.
magese gani?
yuleyule ambaye hata wowowo lake kuliona mpaka uvae miwani?????
kweli wanaume wamedata!!!!!!!!!!!!!!