Hapiness Magese avishwa pete ya $76,000

Hapiness Magese avishwa pete ya $76,000

Ladies and gents, am off to the pub....nawatakia mwisho wa week mwema

Masa
 
Hii topic ni pumba na aibu kwa JF. Hizi habari zinatusaidia nini sisi au Tanzania. Na hizi habari zinahusu siasa vipi!!. Host ihamishe hii topic kwenye page nyingine kwani hii si siasa ni majungu.
 
Hii topic ni pumba na aibu kwa JF. Hizi habari zinatusaidia nini sisi au Tanzania. Na hizi habari zinahusu siasa vipi!!. Host ihamishe hii topic kwenye page nyingine kwani hii si siasa ni majungu.

Pole Kamundu
 
Pole Kamundu

ha-ha-ha...me i thought ikifika friday watu wanakuwa happy?!>...sasa Kamundu ana hasira ya nini wakati hii topic ipo kwenye ukumbi wa celebrity na siyo wa siasa?....hahahah nani kamwambia kwenye celebrity anayeongelewa ni mwanasiasa only>?..hebu mpe kitu na box Mwanawane
 
ha-ha-ha...me i thought ikifika friday watu wanakuwa happy?!>...sasa Kamundu ana hasira ya nini wakati hii topic ipo kwenye ukumbi wa celebrity na siyo wa siasa?....hahahah nani kamwambia kwenye celebrity anayeongelewa ni mwanasiasa only>?..hebu mpe kitu na box Mwanawane

Aaah si unajua frustrations za maisha. Tumwache tu a vent labda atajisikia vizuri.
 
LOL!...True dat!...kumbe ulimnyaka na wewe yeah???.....

BM ngoja na mi nikagide ulanzi nipunguze stress shosti!!! msalimie Balantanda sijui nani kamvalisha pete kabla ya feb 14 na kumfungia ndani??!!!

karibu kinywaji au mpaka siku ya ule mkufu ulioahidiwa na msukuma??
 
BM ngoja na mi nikagide ulanzi nipunguze stress shosti!!! msalimie Balantanda sijui nani kamvalisha pete kabla ya feb 14 na kumfungia ndani??!!!

karibu kinywaji au mpaka siku ya ule mkufu ulioahidiwa na msukuma??


duh! hell no shsoti ulanzi hakufai aisee!...usije ukaleta balaa bure hahahahaha!...waachie akina masanilo na F80 hahahaha!

Balantanda mmmh yule mtama wka watoto i will not suprirse dniksiiakia amevalisha multiple women.....si unajua za wasukuma?...shurt uwe chotara
 
duh! hell no shsoti ulanzi hakufai aisee!...usije ukaleta balaa bure hahahahaha!...waachie akina masanilo na F80 hahahaha!

Balantanda mmmh yule mtama wka watoto i will not suprirse dniksiiakia amevalisha multiple women.....si unajua za wasukuma?...shurt uwe chotara

hahaaaaa sitakunywa huo, sasa Masa anywe huo huo afu na mimi aaaaah!!!

usiniambie Balantanda ndo zake hahaaaaaaaaaaa duh!!!

haya shosti wangu ijumaa njema!!!!
 
hahaaaaa sitakunywa huo, sasa Masa anywe huo huo afu na mimi aaaaah!!!

usiniambie Balantanda ndo zake hahaaaaaaaaaaa duh!!!

haya shosti wangu ijumaa njema!!!!


hahahaha balantanda ni kiboko "simba mwenda pole"...

Haya shosti weekend njema na wewe...."don't do anything that i wouldn't do....talk to you on monday!...

cheerz
 
BM ngoja na mi nikagide ulanzi nipunguze stress shosti!!! msalimie Balantanda sijui nani kamvalisha pete kabla ya feb 14 na kumfungia ndani??!!!

karibu kinywaji au mpaka siku ya ule mkufu ulioahidiwa na msukuma??

Teh teh Pete nitakuvalisha wewe mpendwa wangu..............
 
duh! hell no shsoti ulanzi hakufai aisee!...usije ukaleta balaa bure hahahahaha!...waachie akina masanilo na F80 hahahaha!

Balantanda mmmh yule mtama wka watoto i will not suprirse dniksiiakia amevalisha multiple women.....si unajua za wasukuma?...shurt uwe chotara

Hahaaaaaaaaaaa......Ni bht tu jamani(ndo aweza valishwa kapete)
 
hahaaaaa sitakunywa huo, sasa Masa anywe huo huo afu na mimi aaaaah!!!

usiniambie Balantanda ndo zake hahaaaaaaaaaaa duh!!!

haya shosti wangu ijumaa njema!!!!

Mi sipo hivyo bana
 
Dah shem unauaaaaaaaaa

hhhahahha shem usikonde!...hujui kama wengine wakisikia hivyo ndiyo wanakuja wenyewe bila hata ww kuwatafuta..exclude my shosti bht though...she is exceptional very classic lady!>.....hapo shem naona utadundana na kaka yako Masa....sipoooo!
 
hhhahahha shem usikonde!...hujui kama wengine wakisikia hivyo ndiyo wanakuja wenyewe bila hata ww kuwatafuta..exclude my shosti bht though...she is exceptional very classic lady!>.....hapo shem naona utadundana na kaka yako Masa....sipoooo!

Masa washashindwana kitambo,si unajua Masa ni Tigoholic...Sasa bht na watu wenye addiction hiyo mbali mbali
 
Back
Top Bottom