Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Hapo ni Kariakoo Mwaka 1975
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Mohamad said, Pascal Mayalla na FaizaFoxy walikuwa wakijivinjari Empire Cinema, New Chix, Avelon na chips za Salamander enzi hizo hizoHapo ni Kariakoo Mwaka 1975View attachment 3143731
Mrs. Bujibuji Simba NyamaumeMiaka hiyo
Nambie mkuu
YeahMiaka hiyo
Wengi walishakufa ....daah maisha haya 🙌Yeah
Acha tu dunia twa pita🥲Wengi walishakufa ....daah maisha haya 🙌
Na ndiyo maisha yenyewe mkuuAcha tu dunia twa pita🥲
Wanasemaje Mby? Nilikuwa huko wadada wengi sura nyeupe miguu myeusiNambie mkuu
Itakua na vijana weng wa hovyo kuliko sasaivKila zama na zama zake umewahi kujiuliza mwaka 2100 k.koo itafananaje?
Mtakufa, mtazaliwa tenaNa ndiyo maisha yenyewe mkuu
🤣🤣🤣Yaan mikorogo ipo kutuuaWanasemaje Mby? Nilikuwa huko wadada wengi sura nyeupe miguu myeusi
Yeah...tuna Imani hiyoMtakufa, mtazaliwa tena
Ukweli mchunguMiaka hiyo mtaji+ gharama za fremu kwa mwaka ni senti 50. Na wazee wetu walikuwepo wakashindwa kutumia fursa.
Alisikika kijana mmoja wa hovyo na mvivu.
Miaka hiyoUkweli mchungu
= New ChoxMzee Mohamad said, Pascal Mayalla na FaizaFoxy walikuwa wakijivinjari Empire Cinema, New Chix, Avelon na chips za Salamander enzi hizo hizo