Hapo ni Kariakoo Mwaka 1975

Hapo ni Kariakoo Mwaka 1975

= New Chox


Salamander wakati huo bado Dr. Hashim anatibu watu. mdogo wake Ahmd ilikuwa hajafunguwa salamander bado.

Chips zilikuwa Mermaids ikaja kuwa palipokuja kuwa mbowe baada ya babake huyu mwenyekiti wa chadema kujibinafsishia mali ya umma. alipokuwa msajili wa majumba.

Msifikiri ufisadi umeanza leo, ndiyo maana lili[obumburuka mbowefuli akaja kumfukuza mbowe akafukuzwa pale kama mbwa.

Alikuwa anarusha mawe wakati mwenyewe yupo kwenye nyumba ya vioo.
mh
 
miaka ya nyerere mazee dah...wababe tumengonoka kitaaa mnoo!!!
FB_IMG_1701799662674_5.jpg
 
Mzee Mohamad said, Pascal Mayalla na FaizaFoxy walikuwa wakijivinjari Empire Cinema, New Chix, Avelon na chips za Salamander enzi hizo hizo

Mzee Mohamad said, Pascal Mayalla na FaizaFoxy walikuwa wakijivinjari Empire Cinema, New Chix, Avelon na chips za Salamander enzi hizo hizo
Enzi hizo bado sijaingia jijini, ni New
Chox sio Chix, na ile ni Avalon sio Avelon, unaweza usiamini, zaidi ya Drive In Cinema,sijawahi kuingia ukumbi wowote wa cinemas。
P
 


Enzi hizo bado sijaingia jijini, ni New
Chox sio Chix, na ile ni Avalon sio Avelon, unaweza usiamini, zaidi ya Drive In Cinema,sijawahi kuingia ukumbi wowote wa cinemas。
P
Drive Inn...nmeisoma sana magazetini(upande wa matangazo) na kupita tu kwa nje.Kila nilipoomba kiingilio niende,mzazi alinipiga danadana.😂😂😂
 
Wanasemaje Mby? Nilikuwa huko wadada wengi sura nyeupe miguu myeusi
Wapo kizamani, siku hizi kuna vidonge wakila hakuna sehemu inabaki nyeusi.

Watazame hata wabunge wetu. Na wao wamo.

Mpaka kuna wanaume na wao wanakula vidonge wawe weupe.

. Halafu watu wanajidai Waarabu na wahindi wabaya. Kumbe ni kisa cha sungura na zabibu.
 
Wapi kizamani, siku hizi kuna vidonge wakila hakuna sehemu inabaki nyeusi.

Watazame hata wabunge wetu. Na wao wamo.

Mpaka kuna wanaume na wao wanakula vidonge wawe weupe.

. Halafu watu wanajidai Waarabu na wahindi wabaya. Kumbe ni kisa sungura na zabibu.
Vidonge gan ivyo jamen dooh
 
Back
Top Bottom