Hapo ni Kariakoo Mwaka 1975

mh
 
miaka ya nyerere mazee dah...wababe tumengonoka kitaaa mnoo!!!
 
Mzee Mohamad said, Pascal Mayalla na FaizaFoxy walikuwa wakijivinjari Empire Cinema, New Chix, Avelon na chips za Salamander enzi hizo hizo

Mzee Mohamad said, Pascal Mayalla na FaizaFoxy walikuwa wakijivinjari Empire Cinema, New Chix, Avelon na chips za Salamander enzi hizo hizo
Enzi hizo bado sijaingia jijini, ni New
Chox sio Chix, na ile ni Avalon sio Avelon, unaweza usiamini, zaidi ya Drive In Cinema,sijawahi kuingia ukumbi wowote wa cinemas。
P
 


Enzi hizo bado sijaingia jijini, ni New
Chox sio Chix, na ile ni Avalon sio Avelon, unaweza usiamini, zaidi ya Drive In Cinema,sijawahi kuingia ukumbi wowote wa cinemas。
P
Drive Inn...nmeisoma sana magazetini(upande wa matangazo) na kupita tu kwa nje.Kila nilipoomba kiingilio niende,mzazi alinipiga danadana.😂😂😂
 
Wanasemaje Mby? Nilikuwa huko wadada wengi sura nyeupe miguu myeusi
Wapo kizamani, siku hizi kuna vidonge wakila hakuna sehemu inabaki nyeusi.

Watazame hata wabunge wetu. Na wao wamo.

Mpaka kuna wanaume na wao wanakula vidonge wawe weupe.

. Halafu watu wanajidai Waarabu na wahindi wabaya. Kumbe ni kisa cha sungura na zabibu.
 
Vidonge gan ivyo jamen dooh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…