Elections 2010 Hapo TSJ (Kawe seat) so far matokeo ni hivi



Mh. umeongea vema, nakubaliana na wewe.

 
huyo jk kazipata wapi hizo?
Nccr manunuzi chali.
Mdee oyeee!

walio kwenye campagn team ya Halima wamkumbushe kuwa yule muhuni Angella alivyoibuka na vituo hewa msitu wa Pande na kumbwaga KIPPI WARIOBA...infact kippi alishashinda na angela alisaini kukubali matokeo....kilichotokea baada ya matokeo kujumuishwa kikaibuliwa kituo bubu cha PANDE .....[ni msitu wa hifadhi ,hauna watu zaidi ya waangalizi wa msitu]...chenye wapiga kura 1,000 na kuzalisha kura zilizomfanya angela aibuke toka mshindi wa tatu hadi mshindi "rasmi"....that woman is a serial thief..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…