Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Joanah mkuu, au???
Might be, ngoja niendelee kubembeleza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joanah mkuu, au???
Itabidi na mimi niige hii mbinu.Exactly, maana inabidi unakuwa unalengesha kwenye mwezi wa fedha.
Nakumbuka best.Isikuume best, nlitaka nkushtue lakini si unakumbuka???
Best ndo umenicheka kikubwa hivo[emoji38]Hahahahahahahahahaahhahah
Itabidi iwe hizi tarehe za mishahara.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tulia basi kwanza best, hebu share hiyo birth date tupunguziane umaskini
Nimekumbuka kipindi nipo msichana, kila nikitongozwa natangaza birthday siku tatu mbele[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].Nzuri sana hii, unategesha watu wa kukupa keki wako vyema ndo unatangaza birthday.
Nimekumbuka kipindi nipo msichana, kila nikitongozwa natangaza birthday siku tatu mbele[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nilikula sana keki na mazawadi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utani-tag😀😀Sawa bro. Nitatoa taarifa.
Fanya fasta aiseee, akikubali mimi ntawapa 1 free night on a beautiful hotel hapa kisiwaMight be, ngoja niendelee kubembeleza.
Yeah best isije ikaja ikawa tabu
Kwa kweliItabidi iwe hizi tarehe za mishahara.
Imagine mtu anaanzaje kusema kazaliwa tarehe 16[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya fasta aiseee, akikubali mimi ntawapa 1 free night on a beautiful hotel hapa kisiwa
Upo huku??? Really?? Nakupitia mida kidogo naingia meeting soon. Twende PM kakaHa ha ha, BTW game leo naangalizia CCM niko huku.
Hii mbinu na kuharibikiwa simu baada ya kutongozwa huwa zinatumika sana.Ha ha ha, noma. Hii mbinu nilishawahi kumshtukia mtu mmoja alikuwa anaitumia.
Maana tulijikuta watu kama watatu tuna birthday kila mmoja ya kwake na wote tumepewa na yeye mwenyewe.
Halafu niitie basi aje apokee wish yangu best.Yeah best isije ikaja ikawa tabu
Hii mbinu na kuharibikiwa simu baada ya kutongozwa huwa zinatumika sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
This is screenshoted and sent over best usijali.
Uko vizuri kaka unazijua zote mbinu zao hahahahahah.Yaani hapo kwenye simu ndo unapewa namba analogy. Ukiuliza namba yenye WhatsApp unaambiwa simu imeharibika.
Noma sana.
Uko vizuri kaka unazijua zote mbinu zao hahahahahah.
Lakini unajua mtu kama Hannah Hawezi kukufanyia huu utoto, yuko matured na hizo stage amepita. Unapoa-approach hawa watoto wa vyuo ndio ujiandae na hizi mambo hahaahahah