Asante Pacha.Happy birthday my pacha cute b. Leo ndo nimejua nina pacha JF
Uwe na miaka mingi yenye furaha.
Na me leo nimezaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushahidi Wake hata haueleweki.Tena kagongelea na msumari.
Na ushahidi ni skirinshoti aliyoweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante jamani dearAsante Sis. You know I love you too eh?
Sijawahi kuacha kukupenda[emoji173][emoji173][emoji173]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kakorofi wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Id ya kike na ya kiume?Ushahidi Wake hata haueleweki.
Hajui Kama sweetielee kubadili tu username.
Ule Uzi niliusoma wote na nyinyi wawili wote mlicomment.
Yaani anadhani yeye kuwa na I'd 2 anazojitag tag kila siku basi anapiga ramli kwamba kila mtu anazo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kakorofi wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Id ya kike na ya kiume?
Young sis, binadamu ndivyo tulivo.
Sent using Jamii Forums mobile app
De nada!
Za asubuhi sakayo??Asante jamani dear
[emoji23] [emoji23]
Najua kulalamika eti mama?
Nimewaza 'uchiiinga' hapo pa kulalamika.!
Salama kabisaa my dear, waionaje khali ndugu yangu!Za asubuhi sakayo??
Mdogo wangu, Ni ngumu sana kumuaminisha mtu vile unavyoamini wewe, chochote anachokifikiria mtu juu yako kama hakiathiri lolote katika maisha yako then let them think whatever they need..!Mtu anadhani yeye kuwa na id mbili basi kila mtu anazo.
Huu si Uzi wa kwanza kuandika hayo Mambo ya I'd..umbea umbea tu tena wa uongo wa kukadiria Mambo.
Sasa screenshot ya uzi wa Paula sijui hapa inaingia vipi
Sent using Jamii Forums mobile app
HakikaMdogo wangu, Ni ngumu sana kumuaminisha mtu vile unavyoamini wewe, chochote anachokifikiria mtu juu yako kama hakiathiri lolote katika maisha yako then let them think whatever they need..!
Mimi sijambo kabisa namshkuru muumba khofu kwako tu.Salama kabisaa my dear, waionaje khali ndugu yangu!
Mimi ni bukheri wa afya dear!!Mimi sijambo kabisa namshkuru muumba khofu kwako tu.
Habari za huko ??
Jamani jamani, ni nini tena?? Itabidi nifungue mlango wangu japo kwa muda mchache uniambie vizuri maana si sawa kuniambia hapa.Mimi ni bukheri wa afya dear!!
Habari za huku sio nzuri saana ndugu, ila namshukuru Mungu uzima upo!
Amen amen to that dear!!Jamani jamani, ni nini tena?? Itabidi nifungue mlango wangu japo kwa muda mchache uniambie vizuri maana si sawa kuniambia hapa.
Mola akupiganie sakayo
Aamyn aamyn.Amen amen to that dear!!
Mungu anayeruhusu jaribu anajua imani yetu ni kubwa kuliko jaribu dear!! Ni ngumu sana jamani ila namshukuru Mungu, atatupa ujasiri wa kulibeba!!