Itabidi niitume tarehe yangu pm mapema.Wewe jicheleweshe kizembe tu best[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sana, kwa hapa jf sijawahi kukutana na vitu kama hivi[emoji28][emoji28]Ha ha ha, Relief Mirzska katisha sana.
Sana, kwa hapa jf sijawahi kukutana na vitu kama hivi[emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu Don C sijawahi kuona Uzi wa besdei yako. Ni tarehe ngapi?Amefunika sana.
Noma sana.
Wewe umechagua ipi?Watu wa zamani huwa hatuna tarehe maalumu maana hatukuzaliwa hospitali.
Kwa hiyo unachagua tu yoyote.
Na kwa kuangalia hali ya uchumi wa nchi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ngoja nicheki kwenye diary yangu, maana huwa naiadjust kutegemea na mwaka.
Na kwa kuangalia hali ya uchumi wa nchi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Isikuume best, nlitaka nkushtue lakini si unakumbuka???
HahahahahahahahahaahhahahItabidi niitume tarehe yangu pm mapema.
Nione kama hizi special treatments nitazipata. Ndo nitajua kuna watu wa kubebwa mgongoni na wengine tumboni au laa[emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππππSana, kwa hapa jf sijawahi kukutana na vitu kama hivi[emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inabidi tuwajibike kaka.
Hahahahahaahahah
πππππππSana, kwa hapa jf sijawahi kukutana na vitu kama hivi[emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijakushinda wewe. Wewe unapiga kimya kimya, si unaona Joanah anamkana kila mtu humu for youAmefunika sana.
Noma sana.
Ukichagua ijayo nishtue mwananguWatu wa zamani huwa hatuna tarehe maalumu maana hatukuzaliwa hospitali.
Kwa hiyo unachagua tu yoyote.
Joanah mkuu, au???Kweli kabisa, ngoja nitafute pa kuniwajibisha pia.
Ukichagua ijayo nishtue mwanangu