Happy 26 birthday to me...

hongera sana brother,
ila tarehe yako ya kuzaliwa imeangukia siku mbaya, huenda leo utachukua zawadi ya magoli matano kutoka kwa bavarian.
nitakuletea gari la kuzimia moto pindi utakapokuwa unajiandaa kuzima mishumaa ya keki yako.
 
hongera sana brother,
ila tarehe yako ya kuzaliwa imeangukia siku mbaya, huenda leo utachukua zawadi ya magoli matano kutoka kwa bavarian.
nitakuletea gari la kuzimia moto pindi utakapokuwa unajiandaa kuzima mishumaa ya keki yako.
Uezi amin leo tunapindua meza kibabe..

Ahsante sana bro..[emoji3][emoji3]
 
Huu ndiyo umri wa mashabiki wa Chelsea. Ukimuona kazidi hapa jua alikua shabiki wa Liva, Arsenal au Man United
Hahahaha wakongwe kama sisi utatuambia nini...

Hongera kwa kunipiga FA..

Angalia leo tunapindua meza kibabe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…