Happy B'day Boniface Salim

Happy B'day Boniface Salim

kwahyo unajilia bure tuuu
Nina ndere (dawa ya mzizi kutoka kwa babu) nikimuangalia tu mwenyewe anajileta[emoji1] [emoji1] .
Halafu wanaume tunasema hatuhongi ila nyuma ya pazia ndo utatujua, ukitangaza unahonga wanaume wenzio watakuona mzembe, domo zege, unachunwa, buzi nk[emoji125] [emoji125]
 
Nina ndere (dawa ya mzizi kutoka kwa babu) nikimuangalia tu mwenyewe anajileta[emoji1] [emoji1] .
Halafu wanaume tunasema hatuhongi ila nyuma ya pazia ndo utatujua, ukitangaza unahonga wanaume wenzio watakuona mzembe, domo zege, unachunwa, buzi nk[emoji125] [emoji125]
kuna kaukweli flan apa!
 
Nina ndere (dawa ya mzizi kutoka kwa babu) nikimuangalia tu mwenyewe anajileta[emoji1] [emoji1] .
Halafu wanaume tunasema hatuhongi ila nyuma ya pazia ndo utatujua, ukitangaza unahonga wanaume wenzio watakuona mzembe, domo zege, unachunwa, buzi nk[emoji125] [emoji125]
kama ni mchezo wa ngumi tunasema za usoni point. huweza ku declare in public
 
Back
Top Bottom