Happy birth day albert mangwair

Happy birth day albert mangwair

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
Kama angekua hai basi jana angekua anatimza miaka 31,ila wauza unga wakakatisha uhai wake na tukaporwa kipaji chetu bora kabisa kutokea hapa tz.
Upi ni wimbo wako bora toka kwa cowizy au line kali toka kwake?
R.i.p albert
 
Kifoo chakee kime sikitisha wengi nakushangazaa pia
kani ukifaa unaendelea kuhesabiwa miaka tena habar yako ishaa ishia apo?
ulazweepahala pemaa jembee?
 
Back
Top Bottom