Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Kama angekua hai basi jana angekua anatimza miaka 31,ila wauza unga wakakatisha uhai wake na tukaporwa kipaji chetu bora kabisa kutokea hapa tz.
Upi ni wimbo wako bora toka kwa cowizy au line kali toka kwake?
R.i.p albert
Upi ni wimbo wako bora toka kwa cowizy au line kali toka kwake?
R.i.p albert