Happy birth day Isaac

Happy birth day Isaac

[emoji23] [emoji23] [emoji23] usijali babuu vipi bibi mbn simuoni huku Leo au ushamnyang'anya simu na hii pasaka ilivyoangukia tarehe mby,,,, ukahisi jamaa watakuzidi kete,,,,,[emoji12] [emoji12] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hana bundle na simnunulii akija huku anatongozwa saana.
 
J wewe ndio mke unamuombeaje sasa apate mke mwema?
Alafu wewe Isaac kama upo kweli humu jua hutokuja kupata anayekupenda kama jovitha hapa [emoji23]

Happy birthday to Isaac
Long live our shemeji
J wewe nchokozieeee[emoji6] [emoji4] [emoji125]
 
We Isaac kokote uliko,, Happy birthday..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mie simoooo[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] sitaki ushaidi akaaaaa
 
Huyu Isaac huyu!

Sasa J kwa nafasi ya upendeleo kabisa and since leo ni Isaac's day em fanya uniPM basi ID ya huyu Isaac [emoji2] na mie nimfahamu

I swear daby na wenzake kina Asprin,shunie na Numbisa siwaambii
Sasa ole wako uwaambie kwanza nishastukia mchezo,, nawenyewe utawa pm hivyo hivyo uwaambie .....sikwambii ng'ooo
 
Siwaambii kweli
Alafu nataka nimthaminishe kama anafaa kwa matumizi ya binadamu. . usije ukapotea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tatizo hawekagi picha yke,,, pili ni mara chache sana utamkuta jukwaa LA MMU Mara nyingi yupo jukwaa LA siasa......

Hata kwenye hii yule namwona keshapitia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tatizo hawekagi picha yke,,, pili ni mara chache sana utamkuta jukwaa LA MMU Mara nyingi yupo jukwaa LA siasa......

Hata kwenye hii yule namwona keshapitia
Dah!kwa ile sura yake na siasa ni tafauti
Umejuaje kama kapita hapa?
 
Huyu Isaac huyu!

Sasa J kwa nafasi ya upendeleo kabisa and since leo ni Isaac's day em fanya uniPM basi ID ya huyu Isaac [emoji2] na mie nimfahamu

I swear daby na wenzake kina Asprin,shunie na Numbisa siwaambii

Sasa mim nitashindwaje kumjua anayemfukuzia mjukuu wangu.? Huo si uhujumu wajukuu. Wewe pitia commented kwanzia ya #2 hadi ya #40 utamjua.
 
Sasa mim nitashindwaje kumjua anayemfukuzia mjukuu wangu.? Huo si uhujumu wajukuu. Wewe pitia commented kwanzia ya #2 hadi ya #40 utamjua.
Naomba na mie nimjue puliiiz
Kupitia comments zote hizo ni kazi sana . . .nitajie tu jamani
 
Back
Top Bottom