Kw nitakuwa mumbeya kuwafuatilia wajukuu wanguNaomba na mie nimjue puliiiz
Kupitia comments zote hizo ni kazi sana . . .nitajie tu jamani
Mmh aiyaaKw nitakuwa mumbeya kuwafuatilia wajukuu wangu
Kwa nini tena mumy?mm sitaki hata kumjua joanah teh
mwenyewe jovitha hataki tumjue si angetutajia I'd yake anayotumiaKwa nini tena mumy?
si unamficha hautaki tumjueHutaki kumjua shemala wako
kweli lkn ila unaogopa nn na wkt ww ndio mwenye mali sasa hivi jiamini banaTatizo Isaac hataki alfu nn huwezi jua lbd alishawahi tongoza mtu humu kala papuchi yk then kambwaga naepusha. Mambo mengi,,,
VIJEMBE[emoji118] [emoji124] [emoji124]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aiseee....... Huyo isaack Ni me au ke'??????
Kama niwa Dar, hatoweza kumeza hata tonge moja.....[emoji13] [emoji13]Hbd isaac, karibu sana mkuu nshakuandalia msosi hapa wanakusubiria wewe tuView attachment 497472
Wewe utakua ndio wale wanao kula chips kukuHahahaha akifanikiwa kuumaliza, hotokula chochote wiki nzima.