Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,485
Kwa wale wenzangu na mimi Bazazi!
Nawaomba leo tuwe katika maeneo ya viti virefu kwa ajili ya kuburudika na ladha thabiti sifa kamili;
Naam huo ndio Urithi Wetu, tinywe, hadi titambae.
Na walevi na wanywaji wote na waseme - AMEN.
Bazazi ni Bazazi!
Wasio wanachama wa vyama vya wagomvi (siasa na dini)
Leo ni siku muhimu sana;
Leo ni siku muhimu sana;
Bia yetu Maarufu "SAFARI LAGER"
Ilizaliwa siku ya leo;
Mama yake ni TANZANIA BREWERIES LTD;
Na ndio maana huandikwa "Since 1977"
Ilizaliwa siku ya leo;
Mama yake ni TANZANIA BREWERIES LTD;
Na ndio maana huandikwa "Since 1977"
Happy Birth Day Bia ya Safari.
Nawaomba leo tuwe katika maeneo ya viti virefu kwa ajili ya kuburudika na ladha thabiti sifa kamili;
Naam huo ndio Urithi Wetu, tinywe, hadi titambae.
Na walevi na wanywaji wote na waseme - AMEN.












