Thanks darling.... Hivi kale kaombi kangu ka kutaka uwe mchepuko wangu bado unakafikiria au nihamishie maombi yangu kwa Heaven Sent?Woow Happy Birthday to yah babu Asprin mungu akupe maisha marefu
Thanks honey..... Ukiwa huku unakuwa mrembo kuliko ukiwa jukwaa la siasa. Ushaona tofauti kati ya Bi. Kidude na K-Lyn??Happy birthday Asprin
Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuchekesha (Binafsi napenda sana vituko vyako).
Sichezi tena na wewe..... yani we ngoja tu!happy born day my x mchepuko.....sorry kwa late wishes nilibanwa na serengeti buoy
Shukrani sana mkuu wangu. Ntakuzawadia kabinti kamoja murua kwa hii wish mantashau!!
Thanks darling.... Hivi kale kaombi kangu ka kutaka uwe mchepuko wangu bado unakafikiria au nihamishie maombi yangu kwa Heaven Sent?
kuna neno i love you hapa kweli we baba umeshindikana
Tatizo kale kabinti ni kachoyo kama mtoto wa MugabeBabu Asprin mimi na Heaven Sent ni mapacha ukihamishia hako kaombi kwake siyo mbaya ili uendelee kupunguza kitambi
Shukrani sana kiongoziHappy birthday mkuu.
Tatizo kale kabinti ni kachoyo kama mtoto wa Mugabe
Hahahahaaa hebu nitumiepo huo umbea PMThanks honey..... Ukiwa huku unakuwa mrembo kuliko ukiwa jukwaa la siasa. Ushaona tofauti kati ya Bi. Kidude na K-Lyn??
Twende PM nikakutekenye kwa umbea mpya wa Wema na Zari.
Shukrani sana kiongozi wangu. Bado nna mabebz wengi naweza kukuazima mmoja kwa weekend hii
Hahahahaaakuna neno i love you hapa kweli we baba umeshindikana
Hapa kudeka ndio kwao jioni tukutane pale kwa mama mageThanks darling...... Nimemiss kudekezwa baby ake.... hebu do the needful!!