Ndoa inayotenganishwa na shetani, ziraili mtoa roho... binadamu ni nani hata ahangaike nayo?? RIP ndoa feki!!Hahaaaa!! Mtasubiri sanaaa, yaani hii ndoa binadamu hawezi kuitenganisha.
[emoji23][emoji23][emoji23]asante sanaaaAchana na blah blah zote kama Kiss FM. Hapo kwa blue ndo neno la uzima... Napenda kukuhakikishia anko Magu amekubali ombi lako... ataweka lami mpaka kwenye jumuiya yako... ntakuja nikiwa nateleza....
Walaaaa tuliapa tukiwa na akili zetu timamu, walaa libido haikuhusika, mioyo yetu iliongea. Alafu hicho kipengele cha uunganishaji kimenisisimua, MO11 where are you darling, plz come the needfull is needed.kiapo kingine ama?
ila ujue Mungu anakuona kumwapisha mwenzio wakati mmeunganisha vikojoleo...sio vizuri!!
Usicheke kama siku ile. Si vizuri kuleta harufu mbaya mbele ya wageni bhana... DahNimecheka kwa sauti
Ewaaaaaaa.....[emoji23][emoji23][emoji23]asante sanaaa
Kumbe na ujanja wako wote unakuja kuolewa na kibabu kizee!![emoji23] [emoji23] [emoji23]Ooh hapo mwisho hapo[emoji39]
Upo tayari kuacha ile mipango kando yako lakini?
Tumia hata misahafu mkuu... ikishindikana hata katiba ya TANU. Usikubali upuuzi kwenye mambo ya kikatiba.naandaa vifungu vyakuivunja.
makabrasha yote hayasomi, sitakosea kuuita fake.Hili penzi sio jipya wala sio la kando.
Ni la kitambo sana sema wewe ndio jipya kwako.
Hahaha [emoji21] [emoji21] [emoji21] [emoji21] [emoji21] [emoji21]Halafu haka kazee nahisi kanakula miaka ya watu wengine.
Miaka 90+ halafu bado yupo hai maana yake nini?..........Heri ya kuzaliwa Babu.
keshaona dalili na uwepesi wakuirudia ndoa yake ya awali...Walaaaa tuliapa tukiwa na akili zetu timamu, walaa libido haikuhusika, mioyo yetu iliongea. Alafu hicho kipengele cha uunganishaji kimenisisimua, MO11 where are you darling, plz come the needfull is needed.
Kwani nani huunganisha ndoa? Alie mkuu kuliko wote ndio aloiunganisha.kwani umeunganishwa na nini?
Nilikuwa najiuliza muda wote.... ni bando limekuishia??? Hata lile la yunivasite??Awwwwwwww happy birthday babu mpenzi Asprin
Ishi maisha marefu uzidi kutuongezea siku kwa vimbwanga vyako.
dalili zinaonyesha kuna nguvu ya ziada iliyotumia hapa.Kwani nani huunganisha ndoa? Alie mkuu kuliko wote ndio aloiunganisha.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Tumia hata misahafu mkuu... ikishindikana hata katiba ya TANU. Usikubali upuuzi kwenye mambo ya kikatiba.
makabrasha yote hayasomi, sitakosea kuuita fake.
and it should die