Nilikuwa najiuliza muda wote.... ni bando limekuishia??? Hata lile la yunivasite??
Nikataka nimuachie Mungu lakini kuna mtu akanisihi nisifanye hivyo...
Thank you so very much my
Nifah (Kwa sauti ya Olu Jacobs wa Nollywood movies, yaani libezi flani hivi amazing LOL). Am humbled kupata this wish toka kwako.... wish ya kwanza huwa ina thamani ujue LOL
God bless us all.
BTW kuna jamaa limenigongea dirishani hapa likitaka likupose. Kwa kuliangalia tu hapo kwako.... hapana asee, bora nikuoe mwenyewe... liwalo na liwe.