Happy birthday Asprin

Happy birthday Asprin

Kumbe na ujanja wako wote unakuja kuolewa na kibabu kizee!![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dogo ukinivurugia siku yangu, wallah nahamishia kikojoleo chako usoni.... dont dare me.... You have been warned!
 
0841efb94a1159fef56b6a1ec032b6b6.jpg

Happy birthday to you
Huyu si Nhlanhla wa Mafikizolo?Dada anajua kuvaa huyu namkubali sana.

BTW mbona umemuwish birthday hapa?Au kazaliwa na babu Asprin?
 
Nilikuwa najiuliza muda wote.... ni bando limekuishia??? Hata lile la yunivasite??

Nikataka nimuachie Mungu lakini kuna mtu akanisihi nisifanye hivyo...

Thank you so very much my Nifah (Kwa sauti ya Olu Jacobs wa Nollywood movies, yaani libezi flani hivi amazing LOL). Am humbled kupata this wish toka kwako.... wish ya kwanza huwa ina thamani ujue LOL

God bless us all.

BTW kuna jamaa limenigongea dirishani hapa likitaka likupose. Kwa kuliangalia tu hapo kwako.... hapana asee, bora nikuoe mwenyewe... liwalo na liwe.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] babuuuuuu nimecheka sana.

Nipo safarini ndio maana nimeshindwa kuuona huu uzi mapema,nisamehe bure babu kipenzi.

Hahahahahaaaaa hilo libezi umenikumbusha la mahabuba wangu The bold
Napenda sana sauti nzito ya kiume [emoji39]

Karibu babu mpendwa
Enjoy
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] babuuuuuu nimecheka sana.

Nipo safarini ndio maana nimeshindwa kuuona huu uzi mapema,nisamehe bure babu kipenzi.

Hahahahahaaaaa hilo libezi umenikumbusha la mahabuba wangu The bold
Napenda sana sauti nzito ya kiume [emoji39]

Karibu babu mpendwa
Enjoy
Thank you... ila usisahau kumwambia The bold ... nilikuwa sifanyi utani... asipoleta ukucha wa kidole cha simba dume...cha mguu wa kushoto wa mbele.... yeye na wewe mtakuwa sawa na Lema na Makufuli.
 
Back
Top Bottom