Dogo ukinivurugia siku yangu, wallah nahamishia kikojoleo chako usoni.... dont dare me.... You have been warned!Kumbe na ujanja wako wote unakuja kuolewa na kibabu kizee!![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huku ndio tunakosema... katiba imesiginwa. Kwa lugha ya kisasa huu ni UCHOCHEZIdalili zinaonyesha kuna nguvu ya ziada iliyotumia hapa.
ndoa ipi mrembo? mbona hutaki kuwasikiliza wazee wako...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hivi nani kawatuma lakini!!
Ndoa yangu mnaitakia nini!!
Na ni hatari sana kuunga mkono ndoa yenye viashiria vya nguvu ya ziada.Huku ndio tunakosema... katiba imesiginwa. Kwa lugha ya kisasa huu ni UCHOCHEZI
Akuu mjizeekee kwa amani huko, mniwache!ndoa ipi mrembo? mbona hutaki kuwasikiliza wazee wako...
Nilikuwa najiuliza muda wote.... ni bando limekuishia??? Hata lile la yunivasite??
Nikataka nimuachie Mungu lakini kuna mtu akanisihi nisifanye hivyo...
Thank you so very much my Nifah (Kwa sauti ya Olu Jacobs wa Nollywood movies, yaani libezi flani hivi amazing LOL). Am humbled kupata this wish toka kwako.... wish ya kwanza huwa ina thamani ujue LOL
God bless us all.
BTW kuna jamaa limenigongea dirishani hapa likitaka likupose. Kwa kuliangalia tu hapo kwako.... hapana asee, bora nikuoe mwenyewe... liwalo na liwe.
Mimi nipo rafiki yangu tena mzima wa afya tele hofu kwako.umeadimika sana...mzima wewe malkia wa Songwe?
nilidhani umeamua kuongeza na kuijaza dunia.Mimi nipo rafiki yangu tena mzima wa afya tele hofu kwako.
unakumbukumbu zozote za Heaven Sent?
Kibabu mwenzie,Faizafoxy![emoji6]Nani aolewe na hicho kibabu?
Thank you... ila usisahau kumwambia The bold ... nilikuwa sifanyi utani... asipoleta ukucha wa kidole cha simba dume...cha mguu wa kushoto wa mbele.... yeye na wewe mtakuwa sawa na Lema na Makufuli.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] babuuuuuu nimecheka sana.
Nipo safarini ndio maana nimeshindwa kuuona huu uzi mapema,nisamehe bure babu kipenzi.
Hahahahahaaaaa hilo libezi umenikumbusha la mahabuba wangu The bold
Napenda sana sauti nzito ya kiume [emoji39]
Karibu babu mpendwa
Enjoy