Happy birthday Asprin

Happy birthday Asprin

Ulweso my dear....

Ahsante Sana...

Nami naomba sala yako Mungu aisikie na akutendee vile vile kama ulivyoniombea...(najua hupendi kushindwa kutafuna nyama, ila utafanyaje sasa wakati sala ishasikilizwa??)

Mungu yu mwema daima.... Barikiwa mno.
Haaa haaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Amina kubwa babu, ila navyopenda nyama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha.... Smart911 Hajui kwetu tunaambiwaga kabisa mwanaume akikuzingua akikunyanyasa mama karibu sana nyumbani usinyanyasike huko kisa ndoa.... Njoo kwa miguu miwili tutakupokea tehteh
Mwambie akikuchezea zaidi nakurudisha nyumbani. Hivi hajui mjukuu ni mchumba wa babu??Ohooo ... atajuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom