Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Hahahahaah dah!
Hahahaha We jamaa lazima una pepo la ngono....Nikiwa chalii 20+ years back kuna mrembo nilikuwa namfukuzia, kuna vile alikuwa anambeba mtoto wa dada yake kifuani, nikawa natamani mimi ndo niwe huyo mtoto kukaa pale kwenye kifua.
Hii i
Oh My God!
Ahsante sana rafiki yangu. Afu nimekumisi mbaya mpk napata homa
Oh mchepuko wangu wa kudumu ... nikuambie kitu? Tarehe za kumtengeneza binti yetu umewadia... fanya himaHappy birthday babu Asprin
Oh mchepuko wangu wa kudumu ... nikuambie kitu? Tarehe za kumtengeneza binti yetu umewadia... fanya himaHappy birthday babu Asprin
Hahahaha We jamaa lazima una pepo la ngono....
Usijali. Kwenye hiyo fani sina uchoyo kabisaIla Babu kuna mjukuu wako mmoja ntakutafuta unipe file lake.
Hivi ni mlevi kama wewe?[emoji6][emoji6][emoji6]
Shemeji umepigwa gepu na mchepuko hadi ameanzisha thread ya happy birthday kabla yako![emoji1][emoji1][emoji1]
Hizi comment zako shemeji zitavunja nyumba yetu siku moja.Shemeji umepigwa gepu na mchepuko hadi ameanzisha thread ya happy birthday kabla yako![emoji1][emoji1][emoji1]
Si anaupenda uzee, basi nasi tunanata na biti ila hakana lolote.Nyie ndo mnakapa kichwa atii nikazee..
Ewaaaa.... na vyumba wamebadilisha vitanda.Kwenye ile bar yako babu unayoipenda eenh