Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ubaba hajafikia, ni mkakaMi nahisi ni mbaba ila katika uzee sidhani kama kafikia
[emoji23][emoji23][emoji23] babe una nini lakiniBila shaka unamwaga upepo..
Msimmalizie tuu vijisenti vya uzeeni...Tena nimemsogezea nyama za kutosha
Siku hizi tunapenda wazee manake wanajua kubembeleza afu hawasumbui
Dah...tofauti kati ya mzee na kijana ni "nguvu za misuli"...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu muache mzee wetu
Yeye bado ana misuli ya kutoshaDah...tofauti kati ya mzee na kijana ni "nguvu za misuli"...[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah....Yeye bado ana misuli ya kutosha