Happy birthday atoto!

Happy birthday atoto uishi maisha Marefu, mimi na mume wangu Eli79 tunakutakia kila lenye heri Mungu awe nawe.
 

Nashukuru mnoooo baba kijacho wangu, nakupenda zaidi ya ujuavyo, and yo the best darling.
 
Hakuna namna tena sweetito, subiri tu kuwa dada bora wa mdogo wako, najua lazima arithi that good brain ya sister ake maana hii ni family ya winers tu in Jesus name.
Hahaha Amen Amen. Kumbe Unawish na mdogo angu awe na akili za darasani, teh ntamfundisha na kujipulizia perfume ili uncle mito asimkimbie teh
 
Hahaha na atakuwa tu natural kwa kweli asije akatuletea Mawigi yasiyofata direction ya kichwa. Hatutaki vichambo vya mzee

Kwakweli mawigi hapana, dady akinisimangia mwanangu na wigi lake si nitalia mie!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…