Happy Birthday Aunty Ezekiel

Hua ananitafutia ban nami namtafutia ban lakin shost hata umchambeje lolowapi hakutukani ng'000000,mpaka utachoka

namuonaga kinganganizi kama roba.
Huyu lolowapi ni wa kiumeni au mwanamke.
Kweli warumi mmbea huyu juzijuzi si ndo alitushauri tuende kwa mawichi dokta..
Leo anaponda....
Mie hapa nina mahirizi balaa nina kiwallet changu cha hirizi tu ....
ha ha mawichi ndo mpango mzima....
Haya warumi kantangazeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
lolowapi ni kademu kabaya kabaya kamekosa soko kameona kahamie jamii ,pia ni mbeba pochi wa Wema
Hirizi ulizonazo za nini sasa shogaaa,je kama za uongo???
 
Last edited by a moderator:
lolowapi ni kademu kabaya kabaya kamekosa soko kameona kahamie jamii ,pia ni mbeba pochi wa Wema
Hirizi ulizonazo za nini sasa shogaaa,je kama za uongo???

Ha ha kumbe kabayaaaaaaaaaaaa .
Hizi za ukweli weee tokea niwe nazo mwendo wa kupaa tu.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha kumbe kabayaaaaaaaaaaaa .
Hizi za ukweli weee tokea niwe nazo mwendo wa kupaa tu.

Nipepo na mie na mie mojaa,siku zile nilikosa bata ya kufa mtu,ila sasa mwenzioo ningekuja kwa machale nisingechelewa kurudi nyumbani, hata nisingefaidii
 
Nipepo na mie na mie mojaa,siku zile nilikosa bata ya kufa mtu,ila sasa mwenzioo ningekuja kwa machale nisingechelewa kurudi nyumbani, hata nisingefaidii

Ungefungiwa mlango eeeee na tungeonana ungefukuzwa kabisaaa maana ile ilikuwa safari ya Kulala kironera butiama kwa hayati baba wa taifa ....
 
Ungefungiwa mlango eeeee na tungeonana ungefukuzwa kabisaaa maana ile ilikuwa safari ya Kulala kironera butiama kwa hayati baba wa taifa ....

Aiseeeeeeee kama kulalako ungenipa tu kaka yako anioeee niwe hata mke mdogoo hhhhhhhaaaaa,,,maana ningekuta talaka mlangonii
 
Warumi,
Tatizo la kunuka kinywa kama ni sugu akienda hospitality linatibika vizuri tu. Wakati mwingine koromeo ndio linakuwa na infections so ndio source ya harufu mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…