Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hua ananitafutia ban nami namtafutia ban lakin shost hata umchambeje lolowapi hakutukani ng'000000,mpaka utachoka
lolowapi ni kademu kabaya kabaya kamekosa soko kameona kahamie jamii ,pia ni mbeba pochi wa Wemanamuonaga kinganganizi kama roba.
Huyu lolowapi ni wa kiumeni au mwanamke.
Kweli warumi mmbea huyu juzijuzi si ndo alitushauri tuende kwa mawichi dokta..
Leo anaponda....
Mie hapa nina mahirizi balaa nina kiwallet changu cha hirizi tu ....
ha ha mawichi ndo mpango mzima....
Haya warumi kantangazeeeeeeee
Marhaba binamu, leo hujalala msukuma kasafir nn
lolowapi ni kademu kabaya kabaya kamekosa soko kameona kahamie jamii ,pia ni mbeba pochi wa Wema
Hirizi ulizonazo za nini sasa shogaaa,je kama za uongo???
Ha ha kumbe kabayaaaaaaaaaaaa .
Hizi za ukweli weee tokea niwe nazo mwendo wa kupaa tu.
Nimkome kitu gan wakat unamuonea msukuma wa watu
Kuna mtu kanipa umbea PM kasema ndo tabia yako nikuanzishie thread
Nipepo na mie na mie mojaa,siku zile nilikosa bata ya kufa mtu,ila sasa mwenzioo ningekuja kwa machale nisingechelewa kurudi nyumbani, hata nisingefaidii
Ungefungiwa mlango eeeee na tungeonana ungefukuzwa kabisaaa maana ile ilikuwa safari ya Kulala kironera butiama kwa hayati baba wa taifa ....
Mmh...usikute Iyobo ndo kilichomtoa ndukiMtoto mtamu, ila sema nasikia ananukaga jasho hatar, yan ana jasho baya uyo unaweza mkimbia, kwapa linatema
Ni birthday ya cookieMake up imezidi cheusi dawa, umekuwa kama sanamu la michelin, u look sexy though ,black is always beauty, pendeza sana HAPPY BIRTHDAY mrs Demonte.
![]()
VictoireJasho dawa yake ni kulipiga madeodorant na ma D'or bila kusahau ma Givenchy
Warumi,Wengine inakuwa natural, ndo maana unakuta mwingine ata apige MSWAKI mara nne kwa siku ila domo linanuka tena akipiga mswaki ndo kama anaongeza harufu, wengine unakuta smart na anaoga three times per day, ila mwili unanuka kama maiti, yan watu wana matatizo sugu binamu sijui ni nini