Happy Birthday Aunty Ezekiel

Happy Birthday Aunty Ezekiel

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Make up imezidi cheusi dawa, umekuwa kama sanamu la michelin, u look sexy though ,black is always beauty, pendeza sana HAPPY BIRTHDAY mrs Demonte.

attachment.php
 
Mtoto mtamu, ila sema nasikia ananukaga jasho hatar, yan ana jasho baya uyo unaweza mkimbia, kwapa linatema

mwe....kweli Mungu akupi vyote.....

lakini.dawa ya jasho ipo....kama anaweza awe anakamua juice ya ndimu au limao.....afu anapaka mwili mzima haswa kwapani.......awe anafanya hvyo kila siku asubuh na jioni.....akiendelea kunuka basi ......ana kilema cha jasho.....
 
Mtoto mtamu, ila sema nasikia ananukaga jasho hatar, yan ana jasho baya uyo unaweza mkimbia, kwapa linatema

Hahahaaaa warumi naona unaanza kurudi kwenye ubora wako...hivi ndio vitu tuna miss hapa jukwaani
Mbona nasikiaga ni msafi?
 
Last edited by a moderator:
mwe....kweli Mungu akupi vyote.....

lakini.dawa ya jasho ipo....kama anaweza awe anakamua juice ya ndimu au limao.....afu anapaka mwili mzima haswa kwapani.......awe anafanya hvyo kila siku asubuh na jioni.....akiendelea kunuka basi ......ana kilema cha jasho.....

Hahahaaaaa uwiiii you guys are killin me!!!! Hahahaaaaa
 
Hahahaaaa warumi naona unaanza kurudi kwenye ubora wako...hivi ndio vitu tuna miss hapa jukwaani
Mbona nasikiaga ni msafi?

Nilikuwa busy, naanza kurudi rasmi kwenye himaya yangu takatifu soon
 
Last edited by a moderator:
mwe....kweli Mungu akupi vyote.....

lakini.dawa ya jasho ipo....kama anaweza awe anakamua juice ya ndimu au limao.....afu anapaka mwili mzima haswa kwapani.......awe anafanya hvyo kila siku asubuh na jioni.....akiendelea kunuka basi ......ana kilema cha jasho.....

Wenyew wanakazana na mapafyumu ya milion moja lakin bado pafyumu na jasho vinajitenga yan ana kwapa kali mno, aunty ana nyama nyama flani iv halafu nzito so ikipata jua na joto binamu walahi hatukai
 
Hahahaaaaa uwiiii you guys are killin me!!!! Hahahaaaaa

Kwa nini tena binamu? Yan picha izi zinaficha mengi binamu? Maana wengine warembo ila wananuka midomo, wengine papuchi zinatema kama mbuzi aliyeoza, yan full tafrani, tuishiege tu ku LIKE picha zao insta, ila nyuma ya pazia kuna majanga wengine wanawake lakini wananuka kama mabeberu, yani ni shidaa ndo maana mimi na mademu wa insta tofauti
 
Kwa nini tena binamu? Yan picha izi zinaficha mengi binamu? Maana wengine warembo ila wananuka midomo, wengine papuchi zinatema kama mbuzi aliyeoza, yan full tafrani, tuishiege tu ku LIKE picha zao insta, ila nyuma ya pazia kuna majanga wengine wanawake lakini wananuka kama mabeberu, yani ni shidaa ndo maana mimi na mademu wa insta tofauti

unanichekeshaga wewe!!!
 
Kwa nini tena binamu? Yan picha izi zinaficha mengi binamu? Maana wengine warembo ila wananuka midomo, wengine papuchi zinatema kama mbuzi aliyeoza, yan full tafrani, tuishiege tu ku LIKE picha zao insta, ila nyuma ya pazia kuna majanga wengine wanawake lakini wananuka kama mabeberu, yani ni shidaa ndo maana mimi na mademu wa insta tofauti

We na mademu wa wapi tu unaowatakaaa!!!!
 
Make up hiz zinabadilisha watu yaan utadhan sio yeye hapo
 
  • Thanks
Reactions: amu
Na yeye anatimiza miaka mingapi? Keshafika 20 au ndo ametimiza sasa?manake dadaz wa dar es salaam,ah wana mambo ile mbaya... ni Lulu peke yake ndie alijiongezea umri baada ya kuona wanamsemanga kwamba eti katimuliwa ITV baada ya kuonekana hajatulia na mwenyewe kusema hajatimuliwa ila umri wake ushakuwa mkubwa kuendesha kipindi cha watoto!! Maajabu hayakuisha, alipokumbwa na tuhuma za mauaji ya Kanumba, ehe! Si akaukana tena ule umri mkubwa na kusema yeye ndo kwanza yupo under 18!!!
 
Back
Top Bottom