Happy Birthday Babu ODM

Happy Birthday Babu.

Mie zawadi yangu ipo nasubiri kijua kipoe poe tu nianze kujiondoa mdogo mdogo Uelekeo Bunju Lol. Nikiwa na ndoo yangu ya Mbege. Teh teh teh.

Mwenyezi Mungu akupe kila la kheri Babu uzidi kuongezewa pale ulipopungukiwa. Ubarikiwe sana na uwe na maisha marefu zaidi.

Cc. Sky Elclat dada Bibi mie mgeni wenu huko leo. [emoji85]
 
Kumbe anatumia mbege basi nitakuagizia na kimpumu hii itamfaa zaidi
 
Heri ya siku ya kuzaliwa babu.

Babu mwenye tashtiti zako, mzee ulogoma kuzeeka.
Uzeeke sasa khaaah!!!
 
Hizi salam naomba zisambae hadi kwa sisi mashemela

Leo mambo ni [emoji481] [emoji481] [emoji621] [emoji621] [emoji621] [emoji621]
 
Hahaaaa. Wazee walio wengi ndio tabia zao hizo hivyo amzowee tu sababu wana kale kausemi kao eti ng'ombe hazeeki maini. Teh teh
Haka kausemi kao katawaponza maana vijana wa siku hizi nao wanausemi wao unasema wazee nyakati zao zimepita

Ukiona mzee anahangaika uzeeni ujue ujana wake alikuwa mzembe [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…