Happy birthday baby STUNTER

Shukrani kwa wote walioniwish na wote waliofika,
Nawashukukuru sana na tuendelee na moyo huohuo wa kiungwana wakuu, Ahsanteni
 
Aisee Shukrani saana mchizi wangu Raymond , Mungu akubariki mzee
Ahsante sana bro ww ni mmoja wa marole model wangu hapa Jf. Live long...... Live peace.
Daah jina lipo wazi mno hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…