Happy birthday Bantu Lady

Happy birthday Bantu Lady

Mfyyuuu siku zote najiuliza mbona mjomba wangu hawajamuachia tuuu kumbe umejificha huko kwa babu mwehu!!🤩🤩🤩😘😘😘!!

Miss you sanaaa mjombaaaa!!
Kam kauwaa kamati ya ulenzeee tunakutegemeaaa!! Nyuma hapiti mtyuuu mjomba umesimama imaraaa💪🕺😊😊!!
Ndo ajiite Babu mwehu😂😂😭
 
😅😅 Kama kawa hata nzi hakatishiii yani.. ulinzi na usalama kama wote... huku tukiendele kula vibe za birthday Girl Bantu Lady wa ukweli, malaika wa roho asie na bayaa wala hilaaa.. aishi tu yani maisha marefu akitaka na mika yangu namkopesha 😅😅😅...

Babu aliona jana isiwe case aje kuwasalimia wajukuu wake hasa alipo ona kuna mjukuu mmoja leo ni siku yake ya kuzaliwaa
Ameeenaaa ameeenaaa kubwa baboooo!!!🤩

Lol nilikua naona kabesaaa something was wrong kulee kumbe ni kutokuwepo kwakoo banaaa!!!!

Kabisa babuu would sacrifice anything just for her grandoutaa!!

Happiest birthday Gourgeous!!
 
Antonnia my love, my friend my Bestie. Mrembo wangu. Asante sana nimeishiwa maneno na sikutegemea hili 🙏🙏🙏 Ubarikiwe sana sana.
Na watu wote familia yangu JF nawashukuru sana kwa wishes zenu. Nimefurahia sana mmeifanya siku yangu iwe nzuri zaidi.

Nitajibu kila comment, japo niko njiani nikielekea nje ya mji kusheherekea siku yangu hii. Nawapenda sana sana 😍😍😍😍😍😍😍😍
 
A long time ago, in a galaxy far, far away, the best person in the world was born.

Happy birthday, Bantu Lady[emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji7][emoji7][emoji7][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Asante sana mzee wa Hall 5 sumbai pamoja sana.
 
Ameeenaaa ameeenaaa kubwa baboooo!!!🤩

Lol nilikua naona kabesaaa something was wrong kulee kumbe ni kutokuwepo kwakoo banaaa!!!!

Kabisa babuu would sacrifice anything just for her grandoutaa!!

Happiest birthday Gourgeous!!
Ameeeena kubwaaaaa ya radiii 🤩🤩🤩😍😍

Gorgeous achaguee ka nyota tano kepii tukale kekiii hadi paluche maaana Babuuu na wajukuuu wake kama samaki na majeeeee.... 😍😍😍
 
Antonnia my love, my friend my Bestie. Mrembo wangu. Asante sana nimeishiwa maneno na sikutegemea hili 🙏🙏🙏 Ubarikiwe sana sana.
Na watu wote familia yangu JF nawashukuru sana kwa wishes zenu. Nimefurahia sana mmeifanya siku yangu iwe nzuri zaidi.

Nitajibu kila comment, japo niko njiani nikielekea nje ya mji kusheherekea siku yangu hii. Nawapenda sana sana 😍😍😍😍😍😍😍😍
Enjoy your special day to the fullest bestiee!!😘😘🥳🥳!! !!
 
Ameeeena kubwaaaaa ya radiii 🤩🤩🤩😍😍

Gorgeous achaguee ka nyota tano kepii tukale kekiii hadi paluche maaana Babuuu na wajukuuu wake kama samaki na majeeeee.... 😍😍😍
View attachment 2662893
Kabesaaa babuuu tunajua uko makeneee!!! Acha nejeandaeee akishachauaa unistuee nikajiachie mieee!!
 
Back
Top Bottom