Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Yaani wiki nzima tuko hapa. Tushaitwa wanaume sasa. Kwa kweli hakuna mgeni humu. Chupa mpya mvinyo wa zamani. Tupo sana hapa π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈWeee basdei gal sina mgeni miee lol!! cocastic alishasemaga hakuna mpyaaa humuu !
Mwenyeji kivingine akaribie tu wiki nzima tunasherehekeaa Basdeiiiiii Akaribiee sana soon tutampa location!!
Umeanza kwenye uzi wako, ukanimention, huku tena umekuja. Halafu nimeshakujua sasa. Bye bye ...Bantu Lady Unamwita antonnia wa wapi?![emoji38]
bantuu! ahahah najaribu kuassume!Umeanza kwenye uzi wako, ukanimention, huku tena umekuja. Halafu nimeshakujua sasa. Bye bye ...
hahah umeshanijua au vepe!Umeanza kwenye uzi wako, ukanimention, huku tena umekuja. Halafu nimeshakujua sasa. Bye bye ...
We sijawahi kuwa na fekelo mimiMbona unasound kama kaka yangu Ngalikihinja isije kuwa ni fekero lake hili, ananichora tu hapa π€£π€£π€£π€£π€£
Asante kipenzi, mrembo Amehlo πππHeri ulizaliwa Bantu Lady ishi sana huna baya
My Beautiful Odo ake asante sana πππ LovelovieHave a beutiful birthday odo wangu mimiβ€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈ
Bantu Lady
ππYaani wiki nzima tuko hapa. Tushaitwa wanaume sasa. Kwa kweli hakuna mgeni humu. Chupa mpya mvinyo wa zamani. Tupo sana hapa π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Baby girl.. hapo umenyonya maziwaa ya kutoshaaa umekuwa mwepesiii π π π π . Natumia birthday party ilikuwa tamuu yaaani... nasubiri vipichaaaaUmeanza kwenye uzi wako, ukanimention, huku tena umekuja. Halafu nimeshakujua sasa. Bye bye ...
πππππππ Ankol kwenye picha kuna mambo mengi kule. Wee unapaelewa? π π π π πBaby girl.. hapo umenyonya maziwaa ya kutoshaaa umekuwa mwepesiii π π π π . Natumia birthday party ilikuwa tamuu yaaani... nasubiri vipichaaaa
Naona kuna Bacteria tu π π π ...πππππππ Ankol kwenye picha kuna mambo mengi kule. Wee unapaelewa? π π π π π
Kumbe umepaona eeh Bestie. Unashindwa kuituma, hujui itaangukia mikononi mwa nani π π π πππππππ!
Pamekua pa hovyo hovyo!
Mbona Bacteria Ankol πππππ kwa kweli. Tuache muda uamue tuNaona kuna Bacteria tu π π π ...
Eeeeh umaskini mmbayaa.. unasababisha makasiriko na uchawi wa ajabu ajabuu.. π π π πMbona Bacteria Ankol πππππ kwa kweli. Tuache muda uamue tu
πππππ wanga wengiMie nimeshaacha kutuma kule sikuhizi ujinga ujinga na uchawi kama wote!π